joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
- Thread starter
-
- #21
Punguzeni ukabila, wajinga Sana ninyi. Katika Karne hii bado Kuna wapuuzi wanazungumzia ukabila, stupidChapa kazi kwa nguvu na upige hesabu zako kwa ujanja, ili nawe uwe mmiliki wa vitu vya maana. Sio unakesha tu humu ukijivunia kumiliki akaunti ya JF.
MY TAKE; Hivi Katiba mpya imesaidia nini Kama Mambo ya kijinga Kama haya bado yanaendelea?
Sasa Moses Kuria amekuwa Wakenya? Yeye ni mtu mmoja na hawezi kuwakilisha Wakenya wote.Huyo Moses Kuria analazimisha kuwa mgombea mwenza wa Rutto, sikuliza ujinga anaosema, eti nafasi ya running mate is not negotiable, unawezaje kuzungumza ujinga huu wakati Kuna Katiba ya nchi?, Kweli Kenya ni wakabila kupitiliza.
Sasa Moses Kuria amekuwa Wakenya? Yeye ni mtu mmoja na hawezi kuwakilisha Wakenya wote.
90% ya wakenya wapo hovyo Sana, ndio sababu Kenya ina matatizo mengi Sana, hawana uwezo wa kufikiria mbali.Nimecheka sana kwa comments za huyo jamaa [emoji3][emoji3][emoji3]
Hawa Watu hawana akili aisee
Mjue kwamba kukimbilia kubadili Katiba bila kubadili akili za watu ni ujingaSasa Moses Kuria amekuwa Wakenya? Yeye ni mtu mmoja na hawezi kuwakilisha Wakenya wote.
Hafadhali gani wakati mnachinjana Kama wanyama kwasababu ya ukabila?Afadhali sisi ni wakikuyu wanamiliki Kenya. Sio wahindi na warabu jinsi inavyofanyika huko kwenu
So it's no longer about umiliki wa Kenya tena! Usharuka hadi kwenye swala la ukabila baada ya kukupa za uso.Hafadhali gani wakati mnachinjana Kama wanyama kwasababu ya ukabila?
Nyinyi wenye uwezo mkubwa wa kufikiria mbona nchi yenu inamilikiwa na wahindi na waarabu huku waafrika ngozi nyeusi wakiwa wapenzi watazamaji?90% ya wakenya wapo hovyo Sana, ndio sababu Kenya ina matatizo mengi Sana, hawana uwezo wa kufikiria mbali.
Inatakiwa tuwawekee Rais Hawa[emoji23][emoji23][emoji23]MY TAKE; Hivi Katiba mpya imesaidia nini Kama Mambo ya kijinga Kama haya bado yanaendelea?
Mpaka ipatikane Chama mbadala ambayo ni imara kuliko hicho chama........... chama fulani kumiliki nchi bila kupigiwa kura utaisha lini?
Wanachama wa CCM Tu ni wengi Sana mara 20 ya vyama vingine Kwa hiyo ndiyo hakuna Chama Chenye uwezo wa kupata wapiga Kura wengi kuliko CCMKwani Tanzania CCM imeshinda uchaguzi kihalali lini?
Chizi wewe, kwani wakikuyu kumiliki Kenya si ndio ukabila wenyewe, acheni ukabila wajinga ninyi. Watu wazima mnazungumzia ujinga wa Gikuyu kuwa ndio kabila kubwa wenye haki ya kuongoza Kenya, eti tumeamua kuachia kabila zingine kuongoza kwahiyo nafasi ya naibu rais lazima awe ni mkikuyu, wangese kabisa ninyi.So it's no longer about umiliki wa Kenya tena! Usharuka hadi kwenye swala la ukabila baada ya kukupa za uso.