Huu urembo wa kucha kwa wanawake.....Mh!!! mi hoi kabisa.............

Huu urembo wa kucha kwa wanawake.....Mh!!! mi hoi kabisa.............

...acha kuuma yaweza kuchomoka bana! we vipi?? akashike makanyagio ya mkewe huko!!!

Ulimpeleka wa nini sasa?? Yaani wewe unanichekesha kweli nakunishangaza.

Pole sana usimpeleke tena basi sawa eeehhh
 
Inaonyesha huna ndevu au unatumia matopaz, hebu Week end, muombe akusindikize ukanyoe ndevu (kama unazo) hakikisha unafanyiwa na mazagazaga yote hapo ili utoke chicha
 
Mmh kaka taratibu, utataka na sindano nazo umchome mwenyewe akiumwa? Na issue usipoenda tena kumpeleka basi utakuwa na mawazo zaidi ya haya uliyonayo sasa. Pole, lakini na yakukute!
 
hahaha!!pole kamanda ilaa uliyataka mwenyewe kwa kumsindikiza mkeo akapakwe rangi..utaumia bure walee jamaa wako kazini,naa wanawaremba vizuri USHAURI NEXT TIME USIENDENAE MUACHE AENDE MWENYEWEE
 
Kama wewe unaweza kumremba kama huyo mwenye ujuzi, mrembe,
Kama huwezi muache aende, kwani kusafishwa miguu ndo kuna niliu.......

Manake akiwa mchafu, hajirembi lazima utasema , mwanamke mchafu huyu.
Halafu usiseme mke demu bwana!!!
Tuliza moyo kaka!!
 
Come on great thinker! Wivu gani huo?
 
vipi ungekuwa umesafiri mkoani urudi ghafla ukute kajamaa kana mpaka rangi kibarazani kwenu? (manake kuna wale wanaotembelea majumbani +wamama wengine nyumbani hujitupia tuu kanga)
 
vipi ungekuwa umesafiri mkoani urudi ghafla ukute kajamaa kana mpaka rangi kibarazani kwenu? (manake kuna wale wanaotembelea majumbani +wamama wengine nyumbani hujitupia tuu kanga)
..Teeehhhh tehhhhhhh!!! Nimeipenda hiyo
 
Hivi angepakwa vipi rangi vidoleni bila ya kuvinyosha nyosha kwanza????/. Inaonekana NDOA yenu bado changa sana ndio maana bado wivu umekujaa. Punguza wivu kidogo ili ufaidi ndoa yako.
 
mmmmh pole zako labda huyo kaka alikuwa anakufanyia makusudi sana ili ukome kusindikiza sindikiza kila sehemu :horn:
 
Siku nyingine mwache aende peke yake, akirudi amependeza furahia kupendeza kwake basi.
 
Kama wewe unaweza kumremba kama huyo mwenye ujuzi, mrembe,
Kama huwezi muache aende, kwani kusafishwa miguu ndo kuna niliu.......

Manake akiwa mchafu, hajirembi lazima utasema , mwanamke mchafu huyu.
Halafu usiseme mke demu bwana!!!
Tuliza moyo kaka!![/QUOTE]...Kweli kabisa ngoja tufikirie mchakato wa katiba mpya nadhani kwa leo inatosha...!nasikia hundi ya Dowans imetolewa jana???
 
mmmmh pole zako labda huyo kaka alikuwa anakufanyia makusudi sana ili ukome kusindikiza sindikiza kila sehemu :horn:
...Hilo nalo neno....Naona umetoka kivingine 2011..:clap2::clap2::clap2::coffee:
 
Siku nyingine mwache aende peke yake, akirudi amependeza furahia kupendeza kwake basi.
...Maumivu yakizidi mtafute daktari......:A S 20::A S 20:
 
Last week end nilikuwa maeneo ya mwenge pale nikiwa na mwandani wangu. Kimsingi aliniomba nimsindikize akatengeneze kucha zake. Tukatia timu, mwenyewe anadai kuna kijana ambaye humtengeneza hizo kucha mara kwa mara. Tukafika mwenge na yule jamaa tukamkuta, kwa kuwa alikuwa na mteja mwingine tukalazimika kusubiri. Then ikafata zamu ya honey wangu. Mamaaa akavua viatu akaweka miguu kwenye mapaja ya kale kajamaa, kakaanza kumnyoosha vidole vya miguu kama masaji fulani hivi. Nikimuangalia demu wangu sikuamini, amejiachiaaaa katuliaa jamaa anabonyeza vidole then ndio akaanza kumsafisha hizo kucha na baadae kumpaka rangi kwa mtindo aliotaka....Alipomaliza tukiwa kwenye gari tunarudi nyumbani nikamwambia next time akitaka kusafisha kucha na kupaka rangi hilo zoezi nitalifanya mimi tukiwa chumbani kwetu kwani sikupenda jinsi jamaa alivyokuwa anamchezea miguu ni wazi alikuwa anamtekenya kimtindo.....Huwezi kuamini alinigomea kwa nguvu zote...Hivi wana nini wale jamaa pale mwenge???


Mkuu hata kama hutaweza kumzuia basi uwe wazi na ajue hupendi na wala husupport kile kitu,
huwezi amini, lakini asilimia kubwa ya kina dada wanapenda vile wanavyotekenywa miguu kuliko hata kule kupakwa rangi, kuna mmoja alikuwa hapa Mawenzi Tabata (yeye mwenyewe kaniadithia), alkiuwa anawafyatua sana wake za watu, yeye akishaona mwanamke kaingia anamchua miguu huku anajisifia kuwa yeye ni fundi wa kukanda mwili mzima mpaka mwanamke anajisikia, sasa wale wasiokuwa na misimamo au ambao hawajawahi kukandwa na waume zao na wameshaiona shughuli ya jamaa anavyowatekenya hapo nyuma ya goti, wanaomba wafanyiwe hiyo ya mwili mzima, kilichokuwa kinaendea ni balaa
 
Hivi angepakwa vipi rangi vidoleni bila ya kuvinyosha nyosha kwanza????/. Inaonekana NDOA yenu bado changa sana ndio maana bado wivu umekujaa. Punguza wivu kidogo ili ufaidi ndoa yako.
.....Kweli ehhhhhh???!!!:first:
 
Saajenti usikubali safari nyengine!!!!, atakwambia umpeleke 'Massage', eti kuna jamaa ajua kukanda mwili vizuri sana....... wewe uko pembeni , wa ubani akitoa miguno.........Wacheni mitego midogo midogo...!!!!
 
wewe ndiyo unamatatizo! Kwanin humwamini honey wako? Au ulishang'wata na nyoka one time mkuu? Ndio mana hutaki tena machungu yakurudia nini?

mi namuunga mikono na miguu kanena ukweli kabisa,,,,,mwanamke si wa kumwamini , kwani kitu cha sekunde chaweza kumfanya akatoa maamuzi asiyoyategemea,,, nipo sehemu flani ambapo nahudumia wanawake zaidi ya 30 kwa siku, ni hatari ni balaa....

 
Unaeza kujaribu kumfanyia massage but kupaka rangi:coffee:..huezi..so vumilia tu!.tunapenda what they do!.esp wakongo!:clap2:..
 
Back
Top Bottom