abdulhamis
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 1,436
- 2,296
- Thread starter
- #261
Kimetibuka uko mama Diamond kasema Diamond sio mtoto wa mzee Abdul
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo serikali imeruhusu sheria za kimarekani na kiulaya zimeleta mfumo jikeInafikirisha sana.Mtu unamtunza vyema mama kabla hajazaa na baada,then ukikorofishana na huyo mama,unakomolewa na wote,yaani mama na mtoto.
Hapo ndiyo uongo wa kimwanamke kile. Mchagga ajue kuimba na kunengua tangu lini. Itakuwa hajui nani baba halisi kwa uruka njia wakeLeo mambo hadharani, Mondi ni Mchaga na sio Muha.
Huyo mama Diamond ni malaya tu kama malaya wenginnilivyokua namtetea mama Diamond, kumbe looooooooooool
Tena wale malaya mwajuma ndala ndefu,ndo kwanza kamuhamishia na basha wake kwa mwanae watumbue tu. Jamaa linavimba tumbo tu pale mtoto yuko jukwaani anakata miuno.Huyo mama Diamond ni malaya tu kama malaya wengin
Hapo ndiyo uongo wa kimwanamke kile. Mchagga ajue kuimba na kunengua tangu lini. Itakuwa hajui nani baba halisi kwa uruka njia wake
POINTHivi Diamond angekuwa fukara huyo mzee ange mtafuta.
Baba yake Ommy kaonekana baada ya Ommy kuwa vizuri kifedha.
Baba Mwana Fa nae hivyo,je hao kama wangekuwa mafukara wangejitokeza?
Baba Diamond hakuwa fukara bali ujinga wake mwenyewe na ndio maana alivyo mwacha mama diamond akaenda kuzaa na mwanamke mwengine,sasa huwezi kusema huyu alikuwa masikini bali ujinga wake mwenyewe.
Siku zote mtoto humjali mzazi wake haijalishi ana hali gani,hata ukiwa na mia hakikisha unakula na mwanao,kwani hicho hicho kidogo kinaacha alama kubwa ya upendo na ukumbusho kwa watoto na mke wako kwani wanaona.Yaani hakikisha uwe na hali nzuri au ngumu zote unapitia pamoja na watoto wako,NAKUHAKIKISHIA UKIFANYA HIVYO WATOTO ZAKO HAWATO KUACHA KAMWE.
Cristian Ronaldo mpaka kesho anamkumbuka baba yake,pamoja walikuwa na ufukara wa kutupa lkn mzee wao hajawaacha na haja ikimbia familia.
Daniel Alves yule kapitia magumu pamoja ya wazazi wake,baba yake hakuwaacha familia yake pamoja na ufukara wake hajawahi kuwaacha watoto wake,Dan alikuwa anatembea km kibao kwenda kucheza mpira,baba yake alimsapoti kwa kile alicho jaliwa.Leo hii wanakula matunda ya mtoto wao.
Timiza wajibu wako mtoto wako hatokuacha uzeeni au unapo pitia magumu kiuchumi.
Tulisema mwanzoni kule mwa thread watu wakatetea blah blah. Utasemaje mtoto si wa fulan wakati picha tunaiona wana furaha kbs form 2 hapo. Unampaje jina kama si babakeHuyo mama Diamond ni malaya tu kama malaya wengin
Kumbe unakumbuka vizuri..watu waliibuka kumteteaTulisema mwanzoni kule mwa thread watu wakatetea blah blah. Utasemaje mtoto si wa fulan wakati picha tunaiona wana furaha kbs form 2 hapo. Unampaje jina kama si babake
Hivi nimejiuliza sana nyange hiyo ya wapi. Kwamba wamehamia huko moro ama kuna koo zingine hivyo tuu ama huyo baba alitumia ubini wa mamake?Leo mambo hadharani, Mondi ni Mchaga na sio Muha.
Huyo mama ukimtizama tu ni shankupe. Mama gani asiyekua na adabu akatulia kwake. Halaf anaona sifa. Hapo domo hata aibu anaipata. Nasema sisi wamama moto wetu ninspecial. Very bad. Mama anapenda makuu huyu jamani. Haya tusubirie karma. I wish ningekua poa financially ningemtunza yule mzee nioate thawabu. Na darleen alivyokua anamkandia babake ili tuu kukeep up with that stuppid family.Kumbe unakumbuka vizuri..watu waliibuka kumtetea
jana nimeona baba D kaamua ang'ake kumbe ni mzima tu hana udhaifu kama jinsi ambavyo alikuwa anajipambanua awali.Huyo mama ukimtizama tu ni shankupe. Mama gani asiyekua na adabu akatulia kwake. Halaf anaona sifa. Hapo domo hata aibu anaipata. Nasema sisi wamama moto wetu ninspecial. Very bad. Mama anapenda makuu huyu jamani. Haya tusubirie karma. I wish ningekua poa financially ningemtunza yule mzee nioate thawabu. Na darleen alivyokua anamkandia babake ili tuu kukeep up with that stuppid family.
Nilisema toka huko juu, wanaime nap wana madhaifu yao. Ila wakiamua kufingua vinywa vyao waseme wanayopitia tutakimbia tufee. Tunanukaaaaa dhambi. Always tunapenda kuplay victims. Hatutakuambia madhaifu yetu. Ila tutakyambia ya wenzetu
Inafikirisha sana sana sana. Baba wa watu ukiangalia kabisa unaona anaaema ya moyoni. Na waache kutumia jina lake. Sijui kwanini tumekua wakatili hivi kuumizana. Dhambi sana.jana nimeona baba D kaamua ang'ake kumbe ni mzima tu hana udhaifu kama jinsi ambavyo alikuwa anajipambanua awali.
Kaona kama mbwai na iwe mbwai, jina lake wasitumie tena na wala hataki shobo na mtu kimpango wwt ule.
Mama dangote sio wa kuwa nae sambamba, anakuumbua mchana kweupe na hukutarajia yaan, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nilivyokua namtetea mama Diamond, kumbe looooooooooool
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila mama dangote ni nyokoooooh lol. Yaan hadi shetan anakaa pembeni kujifunza kutoka kwake.Hapo ndiyo uongo wa kimwanamke kile. Mchagga ajue kuimba na kunengua tangu lini. Itakuwa hajui nani baba halisi kwa uruka njia wake
Huyu mama dangote sio mzima ktk ubongo wake. Hana hata mshipa wa utu wa kibinadamu lol.Huyo mama ukimtizama tu ni shankupe. Mama gani asiyekua na adabu akatulia kwake. Halaf anaona sifa. Hapo domo hata aibu anaipata. Nasema sisi wamama moto wetu ninspecial. Very bad. Mama anapenda makuu huyu jamani. Haya tusubirie karma. I wish ningekua poa financially ningemtunza yule mzee nioate thawabu. Na darleen alivyokua anamkandia babake ili tuu kukeep up with that stuppid family.
Nilisema toka huko juu, wanaime nap wana madhaifu yao. Ila wakiamua kufingua vinywa vyao waseme wanayopitia tutakimbia tufee. Tunanukaaaaa dhambi. Always tunapenda kuplay victims. Hatutakuambia madhaifu yetu. Ila tutakyambia ya wenzetu
Man qaala ana aalimun fahuwa jaahil.Aisee! Eti unamuweka mtu akiba ili uje utukane siku nyingine!
Hivi wewe ni timamu kweli?