Davion Delmonte Jr.
JF-Expert Member
- Oct 27, 2013
- 2,149
- 1,718
Kuna tofauti kubwa sana ukichukua 0-0=0 na ukichukua 100-100=0, kwa mtazamo wa kawaida unaweza usiione tofauti maana majibu yote ni 0.
why that example?
Nimekua nikichunguza watu wanaokwenda bank hasa hasa wafanya biashara ambao unakuta mtu anamlipa mwenzake kwa biashara ambayo wamefanya. Wengi unakuta ni kiasi kikubwa cha pesa. Ningependa niwape kaushauri kadogo cha kijinga. Ukienda benki kama unaenda kumdepositia mtu pesa tumia hiyo nafasi kuideposit hiyo pesa kwenye account yako (kama una account kwenye bank husika) kisha withdraw hiyo pesa ndo umlipe unaetaka kumlipa. Maana ya kufanya hivi ni kwamba kama account yako inatabia ya kuingia hela na kutoka huu utakua ni mtaji tosha kwako kama unaenda kufatilia masuala ya mkopo maana ukichukua bank statement yako ule upande wa credits utakua umesheheni credits za kutosha hivo bas waweza kumu outsmart hata loan office awe na picha kwamba wewe ni bonge la businessman. Hata kama umetumwa na mtu we fanya huo ujanja believe me utakusaidia.
Ni hilo tu.. Ni jambo dogo sana la kijinga ila mantiki yake ni kubwa kupita maelezo. ova
why that example?
Nimekua nikichunguza watu wanaokwenda bank hasa hasa wafanya biashara ambao unakuta mtu anamlipa mwenzake kwa biashara ambayo wamefanya. Wengi unakuta ni kiasi kikubwa cha pesa. Ningependa niwape kaushauri kadogo cha kijinga. Ukienda benki kama unaenda kumdepositia mtu pesa tumia hiyo nafasi kuideposit hiyo pesa kwenye account yako (kama una account kwenye bank husika) kisha withdraw hiyo pesa ndo umlipe unaetaka kumlipa. Maana ya kufanya hivi ni kwamba kama account yako inatabia ya kuingia hela na kutoka huu utakua ni mtaji tosha kwako kama unaenda kufatilia masuala ya mkopo maana ukichukua bank statement yako ule upande wa credits utakua umesheheni credits za kutosha hivo bas waweza kumu outsmart hata loan office awe na picha kwamba wewe ni bonge la businessman. Hata kama umetumwa na mtu we fanya huo ujanja believe me utakusaidia.
Ni hilo tu.. Ni jambo dogo sana la kijinga ila mantiki yake ni kubwa kupita maelezo. ova