Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulikuwapa wapi kutoa ushauri huu wakati watu wanalazimishwa kwenda kuona mwili wa magu alipoondoka kuelekea jehanamu?Hii tasnia ya habari kwa sasa ni kama haina maadili kabisa.
Inakuwaje mtu yupo kwenye majonzi unamuhangaisha ili wewe upate views na likes za kukupa fedha?
Mazishi ni ibada ndugu zangu!
ni vizuri kuwahojiwa na wakatoa maelezo kuondoa taharuki na upotoshaji unaowezakua unasambaa mitandaoni dhidi ya kifo cha mpendwa wao 🐒Hii tasnia ya habari kwa sasa ni kama haina maadili kabisa.
inakuwaje mtu yupo kwenye majonzi unamuhangaisha ili wewe upate views na likes za kukupa fedha?
Mazishi ni ibada ndugu zangu!
ni utamaduni wa wafiwa kote ulimwenguni, kuelezea waombolezaji kinagaubaga mwanzo mpaka mwisho, ilikuaje mpaka marehemu akafikwa na umauti kuliko kila muombolezaji kujitungia tu sababu zake 🐒huo ni utamaduni wa wapi?
umezaliwa lini na wap muungwana ili iwe rahisi kusaidiwa na wadau 🐒Umeanza lini na umeanzia wapi?
Ohh hapo ndipo tatizo lilipoanzia kumbe 🐒Nimezaliwa kitambo na Nimezaliwa kliniki
Sikumfuatilia maana sikushinda kuangalia kila chombo cha habari, bali niliona ndugu na jamaa wa familia yake wakihojiwa. Au mama Janet pekee ndio aliyekuwa mfiwa kwenye msiba wa dhalimu?Uliona Mama Janet akihojiwa?
Upotoshaji ? Halafu baaada ya hapo mtu anafufuka?ni vizuri kuwahojiwa na wakatoa maelezo kuondoa taharuki na upotoshaji unaowezakua unasambaa mitandaoni dhidi ya kifo cha mpendwa wao [emoji205]