mr.general
JF-Expert Member
- Jan 21, 2014
- 989
- 610
Husika na kichwa cha habari tajwa hapo juu.Kuna watu wengine sielewi kwanin wanakutumia sms ambayo inahitaji upige namba zao kama mtu unakata kufanikiwa!!?,mafanikio ya kweli ni kufanya kazi kwa bidiii tu .
Na kumtanguliza mungu muumba wetu kwa vitu vyote ulimwenguni.
Na kumtanguliza mungu muumba wetu kwa vitu vyote ulimwenguni.