DOKEZO Huu utaratibu wa kuzuia maiti Hospitali ya Muhimbili kisa nduguze wanadaiwa hela ya matibabu utazamwe vizuri

DOKEZO Huu utaratibu wa kuzuia maiti Hospitali ya Muhimbili kisa nduguze wanadaiwa hela ya matibabu utazamwe vizuri

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Hili jambo limenikuta maana Kuna ndugu yangu amefariki tangu alhamisi iliyopota, alikuwa anadaiwa 2.5milioni, ila Kwa ukata unaotuandama tulichanga tukapata laki 6, Leo tumeenda kuomba kukabidhiwa miwili wa mpendwa wetu, lakini wamekataa. Sijui tunafanyaje Kwa hili.
Bima ya afya kwa kila raia ndo kila kitu hapo, bora wapunguze elimu bure pesa iwekwe kwenye afya kwa kila raia.
 
Hili jambo limenikuta maana Kuna ndugu yangu amefariki tangu alhamisi iliyopota, alikuwa anadaiwa 2.5milioni, ila Kwa ukata unaotuandama tulichanga tukapata laki 6, Leo tumeenda kuomba kukabidhiwa miwili wa mpendwa wetu, lakini wamekataa. Sijui tunafanyaje Kwa hili.
Jibu jepesi mlitakiwa muwaambie basi bakieni nayo hiyo Maiti sisi tunaenda kumaliza msiba.
 
Hili jambo limenikuta maana Kuna ndugu yangu amefariki tangu alhamisi iliyopota, alikuwa anadaiwa 2.5milioni, ila Kwa ukata unaotuandama tulichanga tukapata laki 6, Leo tumeenda kuomba kukabidhiwa miwili wa mpendwa wetu, lakini wamekataa. Sijui tunafanyaje Kwa hili.
Kwenye swala zima la afya serikali haijaweka utaratibu mzuri. Sasa ona unazuia maiti ili iweje?
 
Hili jambo limenikuta maana Kuna ndugu yangu amefariki tangu alhamisi iliyopota, alikuwa anadaiwa 2.5milioni, ila Kwa ukata unaotuandama tulichanga tukapata laki 6, Leo tumeenda kuomba kukabidhiwa miwili wa mpendwa wetu, lakini wamekataa. Sijui tunafanyaje Kwa hili.
Serikali iliyofikisika inazuia maiti ili kumdai marehemu alipe.

Halafu Janabi ndo anaenda kugombea ukurugenzi wa WHO Afrika
 
Waachieni maiti tuone watafanya nini
Chanzo ni sisi wenyewe tunayakuza mambo,kama ndugu tumehakikisha huyu ndugu yetu ni kweli amefariki,tunaomba mwili tukauhifadhi,wanakatalia,tunaanza kujiliza huku na huko...
Nini kinakuwa kimesalia kwa ndugu yetu?
Mwisho wa siku hata walio ukatalia mwili watauzika kwa kushirikisha ndugu wale wale walio wakatalia.
 
Tanzania Uhuni Ni Mwingi Sana
Unazuiaje Mwili Usio Na Pumzi
Tulienda Leo Dec 10 na laki 6 cash mkononi kama sehemu ya kulipa deni, tukaambiwa ktk 2.5 milioni, tulipe walau advance 1.4 milioni na pia ndugu wawili waache vitambulisho original vya nida ili tupatiwe na kuzuia na deni linalobakia lilipwe taratibu ili tukimaliza kulipa deni ndo tutapewa ID zetu za Nida. Hadi muda huu bado wanaishikilia maiti wao pale muhimbili. Hatujui hatma ya maiti ya mpendwa wetu tutafanya njia Gani ili tuipate. Inahuzunisha sana.
 
Hili jambo limenikuta maana Kuna ndugu yangu amefariki tangu alhamisi iliyopota, alikuwa anadaiwa 2.5milioni, ila Kwa ukata unaotuandama tulichanga tukapata laki 6, Leo tumeenda kuomba kukabidhiwa miwili wa mpendwa wetu, lakini wamekataa. Sijui tunafanyaje Kwa hili.
Raisi anagawa pesa kwa Viongozi wa Dini na Timu za mipira, na Wewe ungekua una julikana kama Mwijaku na Dotto Magari Mama angekulipia ili aoneka anaupendo kwa Wananchi wake lakini ndio hiyo Raisi hawezi kusaidia watu wa chini kwasababu hata onekana.
 
Hili jambo limenikuta maana Kuna ndugu yangu amefariki tangu alhamisi iliyopota, alikuwa anadaiwa 2.5milioni, ila Kwa ukata unaotuandama tulichanga tukapata laki 6, Leo tumeenda kuomba kukabidhiwa miwili wa mpendwa wetu, lakini wamekataa. Sijui tunafanyaje Kwa hili.
Mkuu poleni sana kwa kuondokewa na mpendwa wenu na changamoto ya Muhimbili pia.
 
Usichokijua hicho ndicho wanachokitaka. Hapo wanakuwa wamepata cadaver kwa ajili ya kufundishia madaktari wapya. Kususa kwenu ni faida zaidi kwa taasisi.
Potelea mbali kama ajenda zao ndio hizo, cha muhimu mtamfanyia ibadazote muhimu ndugu yenu basi inatosha.
Nafsi ishaachna na ule mwili umebaki kuwa empty shell sema ni ubinaadam kumpa sitara marhem
 
Back
Top Bottom