DOKEZO Huu utaratibu wa kuzuia maiti Hospitali ya Muhimbili kisa nduguze wanadaiwa hela ya matibabu utazamwe vizuri

DOKEZO Huu utaratibu wa kuzuia maiti Hospitali ya Muhimbili kisa nduguze wanadaiwa hela ya matibabu utazamwe vizuri

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Ccm haitaki watu wazike ndugu zao. Ccm kimekuwa chama cha hovyo kabisa tangu utawala wa Magufuli Na huu wa Samia, wamekosa kabisa utu, wanataka kusifiwa kwa gharama zozote. Usipowasifia wanakuteka
 
Na nyie pia mjaribu kuachana na kusafirisha MAITI muamke kama wachaga mwendo wa ununio mbweni siku hizi jamani

Gharana za kusafirisha zimekuwq nyingi sana siku hizi mekuona vipi mumpumzishe marehemu hapahapa dar kupunguza gharama
 
Maiti haitakiwi kuzuiwa.

Mtafute MOI au TMO au Mkurugenzi wa Manispaa/ Halmashauri/ Wilaya n.k. muelezee kuna afisa amekujibu huwezi kuchukua mwili kwaajili ya deni
 
NAJUA UCHINGU WAKE
MUNGU AKAWE MFARIJI WENU TU
 
Waachieni wazike wenyewe...; Ingawa kuangalia symptoms bila kutibu ugonjwa nadhani kama taifa tunapotoka, ila cha kujiuliza na ninachojiuliza siku hadi siku bila kupata majibu ni....

 
Back
Top Bottom