Wanafunzi wa udaktari wana topic inaitwa anatomy huwa wanapewa realbody kufanikisha hiyo topic ndio maiti zilizosuswa zinakopelekwaWaachieni maiti tuone watafanya nini
Wana ikata kata vipande .....wanawapa wanafunzi wanajifunzia kivitendo.....!!!!Waachieni maiti tuone watafanya nini
Wakibaki nayo baada ya muda wanawapa "Site" maiti wanaenda kuzika. Dawa ni kulipa tu. Mtu akifariki haiondoi ukweli gharama zimetumika na ndio maana Serikali yetu nzuri na Bunge letu tukufu wamepitisha Sheria ya Bima ya Afya ya Lazima kwa kila Mtanzania. Kwa wanafunzi ni shilingi 50,400/= tu! Tuhimizane tukakate bima za afya tuhepuke aibu na kusubiri huruma!Jibu jepesi mlitakiwa muwaambie basi bakieni nayo hiyo Maiti sisi tunaenda kumaliza msiba.
Wakizika City si imeisha hiyoWakibaki nayo baada ya muda wanawapa "Site" maiti wanaenda kuzika. Dawa ni kulipa tu. Mtu akifariki haiondoi ukweli gharama zimetumika na ndio maana Serikali yetu nzuri na Bunge letu tukufu wamepitisha Sheria ya Bima ya Afya ya Lazima kwa kila Mtanzania. Kwa wanafunzi ni shilingi 50,400/= tu! Tuhimizane tukakate bima za afya tuhepuke aibu na kusubiri huruma!
Ndio maana yake. Hapo kupanga ni kuchagua tu!Wakizika City si imeisha hiyo
Watapewa muhas wawatumie kama cadaverWaachieni maiti tuone watafanya nini
Inakiwa Mwili Huu Wa Nyama Unapokosa PumziKimsingi huu utaratibu ni wa kijinga. Na hivyo unatakiwa uondolewe mara moja.
Msiba hauwezi kuisha bila mtu kuzikwaJibu jepesi mlitakiwa muwaambie basi bakieni nayo hiyo Maiti sisi tunaenda kumaliza msiba.
huwa wanazihitaji sana hizo maiti,...wana kazi nazo,.....🧐Jibu jepesi mlitakiwa muwaambie basi bakieni nayo hiyo Maiti sisi tunaenda kumaliza msiba.
kuna hospital hata ukienda kupima malaria, unaweza usirudi nyumbani mzima,....Kwanini maiti idaiwe na wakati huduma hospitali iliyotoa imeshindikana kumponya mgonjwa mpaka amefariki? Huu nao ni uhuni tu. Natamani hili liangaliwe upya litungiwe sheria ya hakuna kulipia huduma ambayo haijaleta matokeo chanya ikiwemo na hii ya matibabu ili watoa huduma wawe makini na kazi zao kuhakikisha wanaleta matokeo chanya.
Nimeshuhudia uzembe wa madaktari ukisababisha mauti kwa mgonjwa wa ajili alipopelekwa hospitalini baada ya kupata ajali daktari kamshona jeraha la kichwa na baada ya muda hali ikazidi kuwa mbaya kumchunguza kumbe kuna damu imevilia kwenye kichwa ikaenda mpaka kwenye ubongo hatimae kusababisha mauti ya mgonjwa, hivi kwa scenario kama hii hawa watoa huduma wa hivi wanastahili kulipwa? Wanalipwa kwa lipi sasa na wakati wamesababisha hasara kubwa sana.
Kalipeni tushachoka mngemtibia nyumbanHili jambo limenikuta maana kuna ndugu yangu amefariki tangu Alhamisi iliyopita, alikuwa anadaiwa 2.5milioni, ila kwa ukata unaotuandama tulichanga tukapata laki 6, Leo tumeenda kuomba kukabidhiwa miwili wa mpendwa wetu, lakini wamekataa. Sijui tunafanyaje kwa hili.
Wanaonesha jinsi wanavyopenda kuangalia maiti.Upendo ulioje!Hili jambo limenikuta maana kuna ndugu yangu amefariki tangu Alhamisi iliyopita, alikuwa anadaiwa 2.5milioni, ila kwa ukata unaotuandama tulichanga tukapata laki 6, Leo tumeenda kuomba kukabidhiwa miwili wa mpendwa wetu, lakini wamekataa. Sijui tunafanyaje kwa hili.
Ondokeni na special hire nendeni wote ofisi ya waziri WA afyaTulienda Leo Dec 10 na laki 6 cash mkononi kama sehemu ya kulipa deni, tukaambiwa ktk 2.5 milioni, tulipe walau advance 1.4 milioni na pia ndugu wawili waache vitambulisho original vya nida ili tupatiwe na kuzuia na deni linalobakia lilipwe taratibu ili tukimaliza kulipa deni ndo tutapewa ID zetu za Nida. Hadi muda huu bado wanaishikilia maiti wao pale muhimbili. Hatujui hatma ya maiti ya mpendwa wetu tutafanya njia Gani ili tuipate. Inahuzunisha sana.
WAISIHARAMU NDIYO WALILETA HUO UPUMBAVU KWENYE HOSPITALI ZA SERIKALI...HUWA NIKISEMA AWA WAPUMBAVU AWAFAI KUWA VIONGOZI ...WAPUUZI WANAPINGANi nani Mkurugenzi wa hiyo Hospitali?
Ombeeni ama pigien itvOndokeni na special hire nendeni wote ofisi ya waziri WA afya
Mkimkosaa ndenden ofisi ya waziri mkuu