Huu utaratibu wa 'Makahaba' wa Mkoani Njombe nimeupenda na nashauri 'Uenziwe' nchi nzima

Kondom sawa hutumii. Je Yale magonjwa ya ngozi ambayo ukigusana na mwenye nayo lazima uyapate au vile vichawa vidogo ambavyo havionekani' kwa macho ambavyo hushambulia miguu inapokutana?
Wewe nae Bwege kweli sasa Ugonjwa mkubwa na wa Hatari kama UKIMWI sipati ndiyo nitayapata hayo mengine ya cha Mtoto tu?
 
Kuna sifa yako umeitaja ya kupenda utani na mzaha usioumiza, hapo unamiliki utajiri mkubwa sana. Sidhan kama kuna utajir kama moyo wa furaha na utoshelezi au kiasi! (mean and generous).
Hata mimi napenda hiyo sifa.
Kuna watu wana umaskin mkubwa wa kitu hiki. Wakiamini kuwa serious kila dakika na kila jambo ndo umakini!
Mara nying hawa hufa siku si zao! Ni zao la kutokujiamini.
Hata utan na wenza wao hawanaga. Akina ...panua niweke! Hata kwa watoto hudhan sura ya mbuz ndo ubaba had dogo hawez uliza kitu cha ufaham kwa amani.
Hata siasa, dini, sera, mipango na mitazamo ukisema asichoamin huwazia kupigana na matus. Uadui!
I hate being too serious. Hata tusi napenda nikutupie laini kama ....the lights are on but nobody inside!
 
Njombe wapi brother nipo Savana lounge hapa mbona siwaoni?ebu nipe connection
 
Tumshauri atumie KLY jelly kunyandulia. Au wadau mnasemaje?[emoji1783][emoji1783][emoji1783]
 
Njombe nimetokea juzi uko hakufai hata kurumagia Sasa wewe jichanganye uanzekula mbaazi
 
Huu utaratibu niliuona kwa Mara ya kwanza mjini Kampala, Uganda.
Kule Kampala wanategesha msichana chumba Cha pili anayelalamika Kama vile anashughulikiwa ili na wewe upandishe midadi.
Sehemu nyingine ni Iringa, jina la gesti kapuni maana Kuna wakware watafanya Safari za Iringa.
 

Huna baya mtani pumzika kwa amani
 
Mkuu taarifa ni ya moto hii kuliko za bungeni dodoma walahi
 
Huu uzi utapata wachangiaji wengi sana

Sasa si uzi unaojadili mambo muhimu ya kimataifa au wewe haupendi kujadili global issues kama za kunyandua huku ukigusa mazegembe
 
Waendelee hivyo hivyo,maana kuna lodge huwa zinakera kweli unakuta chumba kizuri sana na mashuka yenye maua ua afu receiption yupo mbibi,afu ukiulizia mademu wanaouza mbunye unaona bibi anakushangaa

Mimi huwa nikiona shuka zina maua tu akili yote inaanza kuwaza mbunye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…