Huu utaratibu wa 'Makahaba' wa Mkoani Njombe nimeupenda na nashauri 'Uenziwe' nchi nzima

Huu utaratibu wa 'Makahaba' wa Mkoani Njombe nimeupenda na nashauri 'Uenziwe' nchi nzima

Asante sana Mkuu na Nakushukuru kwa leo kunisaidia Kunielimishia Wapumbavu waliojazana hapa kama huyo Mmoja wao peno hasegawa

Halafu kuna Watu mpaka leo hawaelewi ni kwanini katika Signature yangu Kuna neno Entertainer ukiachilia mbali yale mengine ya Purely Talented, Charismatic Fella and Game Changer yaliyozoeleka na Wengi.

Hakuna Kitu GENTAMYCINE nakipenda ( na ndiyo Asili yangu ) hata Wanaonijua 'Personally' watakiri hivyo kama Utani ( Kutania na Kutaniwa ) na Kuchangamsha Watu pale nikihisi Jamvi ( JamiiForums ) Kumepoa.

Kuna Siku nilisema hapa JamiiForums kuwa Watu wakija Kuniona na wakiambiwa huyu ndiyo GENTAMYCINE hawataamini, watashangaa na wataishia Kucheka sana tu pia.

Kwa Mfano huwa nikianzisha Mada zangu za Kiuchokozi kuhusu Rwanda, Rais Kagame na Watutsi na nikiona Watu ( Members ) wamecharuka hapa na Wamefura ( Wamechukia ) huku wakinijibu vibaya huwa Ninacheka hakuna mfano Mkuu.

Kuna Jamaa zangu Wawili wapo SSIT ( Kitengo ) na wananijua Personally ila nawahifadhi Kimaadili wanasema 75% ya Staff Wenzao pale Makao Oysterbay jirani na Kanisa langu la Utotoni na Shule yangu ya Kindergaten ya St. Peters wakiwa Ofisini huwa Wananisoma mno, Kunijadili na Wao huwa hawana Mbavu kwa Kucheka.

Kuna Watu wanadhani GENTAMYCINE nina Roho Mbaya, Mkorofi na Katili ila wakija kuishi nami nina uhakika kwa tabia yangu Tukuka ya Upendo, Huruma, Utu na Ustaarabu wanaweza hata kutamani Nisife na niishi Milele ili wazidi tu Kuburudika nami.

Labda kwa post yangu hii sasa wengi na hasa wale Wageni nami na Uwasilishaji wangu wa Kipekee hapa JamiiForums wataweza Kunielewa na Kubadilika kutoka Kunichukia na sasa Kunipenda mno Malaika Mimi wa Mungu.

Nawapenda Members wote hapa JF.
Malaika wa nani [emoji23][emoji23][emoji23] fala wewe
 
Wagonjwa wa Pumu ( Asthma ) huwa hawapati UKIMWI na hii imekuwa 'Scientifically Proved' hata na WHO na nimeshathibitishiwa na 'Specialist Doctors' wengi tu nchini.

Kwa idadi ya 'Mbunye' nilizozitindua ukizingatia nina 'allergy' na Kuvaa 'Condoms' kama isingekuwa Mimi kuwa 'this Asthmatic' leo ningekuwa nimeshapumzika zangu Udongoni Kitambo tu.

Msiougua Pumu ( Asthma ) poleni.
Mara una athma, mara ni "group o" [emoji23][emoji23] tushike lipi sasa wewe chawa wa kagame
 
Back
Top Bottom