Huu utaratibu wa 'Makahaba' wa Mkoani Njombe nimeupenda na nashauri 'Uenziwe' nchi nzima

Ulienda kupata uzoefu ili, ukifika riverside ukaue vijana?? Punguza ukahaba dada yetu
 
Haki ya nani! Kama ndiyo hivyo watasababisha dushe langu likatikie ndani ya mbunye.
Mkuu, wewe ni ME au KE? Kuna nyuzi humu umekuwa ukijitambulisha kama KE, leo hapa umegeuka kuwa ME tena?
 
Hahahah hii ikienea nchi nzima sina hakika kama tunaweza kuhudumia waathirika nchi nzima wakiwango cha njombe.
 
Watakuja kuuliza eti one night stand sh ngapi! Ngoja waje vijana wa ovyo!
 
Oya mkuu mbn km unatoa wosia unataka kuvuta? Usife bn maana bado unahitajika jf Mzee Baba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…