Simbamteme
JF-Expert Member
- Sep 10, 2011
- 804
- 2,131
Nimeona tangazo la TBS(Nimeli attach hapo) kuwa kuanzia mwezi March mtu akiagiza gari kutoka nje,halitakaguliwa hukohuko nje
Utaratibu uliopo sasa ni kuwa gari inakaguliwa hukohuko nje kupitia kwa mawakala wa TBS(Ambao mm kwa maoni yangu naona ndo mzuri zaidi) kwani gari likikutwa lipo chini ya kiwango haliwezi kusafirishwa kuja huku...ni ama ubadilishiwe ama uwe refunded
Sasa kwa mujibu wa Tangazo lao ni kuwa kuanzia mwezi March,ukiagiza gari kutoka nje,HALITAKAGULIWA..litasafirishwa kuja nchini then TBS watalikagua..likikutwa lipo chini ya viwango,litapelekwa karakana kwa ajili ya matengenezo(hapa lazima hela ya matengenezo ikutoke na hii itakuwa ni nje ya hela ya ukaguzi)...Hapo bado TRA wanakusibiri wakamue hela yako
Sasa najiuliza..itakuwaje kama ukikuta gari inahitaji matengenezo yatakayohitaji hela nyingi sana?hii si itakuwa chanzo cha watu kukimbia magari yao?
TBS inabidi iangalie hili swala kwa jicho pevu...Nchi itageuka kuwa DAMPO la magari yasiyo na viwango
Na kwa mtazamo wangu nahisi hii yote ni kwa sababu ya kutaka kukwepa kugawana hela na Mawakala wao waliopo nje
Mnaotarajia kuagiza magari kuanzia mwezi March mjiandae..Ukiagiza gari "mkweche" ujue ishakula kwako hiyo
Utaratibu uliopo sasa ni kuwa gari inakaguliwa hukohuko nje kupitia kwa mawakala wa TBS(Ambao mm kwa maoni yangu naona ndo mzuri zaidi) kwani gari likikutwa lipo chini ya kiwango haliwezi kusafirishwa kuja huku...ni ama ubadilishiwe ama uwe refunded
Sasa kwa mujibu wa Tangazo lao ni kuwa kuanzia mwezi March,ukiagiza gari kutoka nje,HALITAKAGULIWA..litasafirishwa kuja nchini then TBS watalikagua..likikutwa lipo chini ya viwango,litapelekwa karakana kwa ajili ya matengenezo(hapa lazima hela ya matengenezo ikutoke na hii itakuwa ni nje ya hela ya ukaguzi)...Hapo bado TRA wanakusibiri wakamue hela yako
Sasa najiuliza..itakuwaje kama ukikuta gari inahitaji matengenezo yatakayohitaji hela nyingi sana?hii si itakuwa chanzo cha watu kukimbia magari yao?
TBS inabidi iangalie hili swala kwa jicho pevu...Nchi itageuka kuwa DAMPO la magari yasiyo na viwango
Na kwa mtazamo wangu nahisi hii yote ni kwa sababu ya kutaka kukwepa kugawana hela na Mawakala wao waliopo nje
Mnaotarajia kuagiza magari kuanzia mwezi March mjiandae..Ukiagiza gari "mkweche" ujue ishakula kwako hiyo