Huu utata katika katiba pendekezwa

Huu utata katika katiba pendekezwa

Mmanu

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2015
Posts
1,775
Reaction score
1,011
Wakuu wa JF
Katika kupitia katiba pendekezwa nimekumbana na huu utata hususani katika sehemu ya Makamu wa rais

Ibara ya 99- inasema kutakuwa na Makamu wa rais watatu ambao ni
(a) Makamu wa kwanza wa rais
(b) Rais wa Zanzibar ambaye atakuwa makamu wa pili wa rais na
(c) Waziri mkuu ambaye atakuwa makamu wa tatu wa rais.

Utata ukaanzia hapa:
Ibara 100(3) inasema Chama cha siasa chochote au mtu yeyote anayekusudia kugombea nafasi ya madaraka ya Rais, akiwa mgombea huru, hatazuiwa kumpendekeza mtu yeyote kuwa mgombea nafasi ya madaraka ya MAKAMU WA KWANZA WA RAIS kwa sababu tu kwamba mtu huyo kwa wakati huo ameshika nafasi ya madaraka ya RAIS WA ZANZIBAR

Swali:
1: Je kama huyu rais wa Zanzibar atateuliwa kugombea nafasi ya makamu wa rais wa kwanza wa JMT hii nafasi ya umakamu wa pili wa rais bado itakuwa ni yake ama itakuwaje hapo?

2: Ikiwa yeye ndiye makamu wa kwanza wa rais wa Jamhuri ya Muungano na rais wa JMT akiwa hayupo katika nafasi hyo kwa muda mfano akiwa amesafiri je panapohitajika uwakilishi wa sehemu zote mbili yaani Tanzania bara na visiwani na ikiwa shughuli hyo inaulazima wa kuhudhuliwa na viongozi wakubwa sana katika pande hizi mbili?

3: Napatwa na kigugumizi namna ya utekelezaji wa majukumu kwa pande mbili yaani huku akiwa makamu wa rais na huku ni rais je majukumu yake atatekelezaje kwa wakati mmoja?

Naomba kufanunuliwa hapo ili nipate uelewa zaidi maana naona kama kuna double standard katika hyo nafasi.

Nawasilisha.
 
Wakuu wa JF
Katika kupitia katiba pendekezwa nimekumbana na huu utata hususani katika sehemu ya Makamu wa rais

Ibara ya 99- inasema kutakuwa na Makamu wa rais watatu ambao ni
(a) Makamu wa kwanza wa rais
(b) Rais wa Zanzibar ambaye atakuwa makamu wa pili wa rais na
(c) Waziri mkuu ambaye atakuwa makamu wa tatu wa rais.

Utata ukaanzia hapa:
Ibara 100(3) inasema Chama cha siasa chochote au mtu yeyote anayekusudia kugombea nafasi ya madaraka ya Rais, akiwa mgombea huru, hatazuiwa kumpendekeza mtu yeyote kuwa mgombea nafasi ya madaraka ya MAKAMU WA KWANZA WA RAIS kwa sababu tu kwamba mtu huyo kwa wakati huo ameshika nafasi ya madaraka ya RAIS WA ZANZIBAR

Swali:
1: Je kama huyu rais wa Zanzibar atateuliwa kugombea nafasi ya makamu wa rais wa kwanza wa JMT hii nafasi ya umakamu wa pili wa rais bado itakuwa ni yake ama itakuwaje hapo?

2: Ikiwa yeye ndiye makamu wa kwanza wa rais wa Jamhuri ya Muungano na rais wa JMT akiwa hayupo katika nafasi hyo kwa muda mfano akiwa amesafiri je panapohitajika uwakilishi wa sehemu zote mbili yaani Tanzania bara na visiwani na ikiwa shughuli hyo inaulazima wa kuhudhuliwa na viongozi wakubwa sana katika pande hizi mbili?

3: Napatwa na kigugumizi namna ya utekelezaji wa majukumu kwa pande mbili yaani huku akiwa makamu wa rais na huku ni rais je majukumu yake atatekelezaje kwa wakati mmoja?

Naomba kufanunuliwa hapo ili nipate uelewa zaidi maana naona kama kuna double standard katika hyo nafasi.

Nawasilisha.
Kijana hapo umejichanganya we mwenyewe, soma vizuri uelewe hivo vipengele. Hakuna utata wowote hapo.
 
Kijana hapo umejichanganya we mwenyewe, soma vizuri uelewe hivo vipengele. Hakuna utata wowote hapo.

Naomba unielekeze ili niweze kutegua kitendawili nilichonacho
 
Jamaniiiiii tuache siasa mbona ibara ya 99 kwenye katiba inayopendekezwa iko wazi na inaeleweka vzr,nahisi mtoa hoja hajaisoma vzr na kuielewa
 
Jamaniiiiii tuache siasa mbona ibara ya 99 kwenye katiba inayopendekezwa iko wazi na inaeleweka vzr,nahisi mtoa hoja hajaisoma vzr na kuielewa

Nmeisoma ila tatizo langu liko kwenye ibara ya 100 (3) kama itakuwa umeelewa maswali yangu
 
Hawana cha kukueleza zaidi ya 'hujaielewa'. Hawawezi kukuelewesha kwa sababu nao hawaielewi, bali wamekariri tu. PIGA CHINI KATIBA YA CHENGE.

By the way, wakamalize kuandikisha watu kwanza.
 
Hawana cha kukueleza zaidi ya 'hujaielewa'. Hawawezi kukuelewesha kwa sababu nao hawaielewi, bali wamekariri tu. PIGA CHINI KATIBA YA CHENGE.

By the way, wakamalize kuandikisha watu kwanza.

Wewe si ndo unabishabisha as if umekimbia Milembe, kusoma hutaki afu unakuwa namba moja katika kuipinga.
 
Nmeisoma ila tatizo langu liko kwenye ibara ya 100 (3) kama itakuwa umeelewa maswali yangu

Nakushauri ndugu usisome kama kasuku, soma kwa makini tena tuliza akili yako usisome kama mtu anayeweweseka.
 
Nakushauri ndugu usisome kama kasuku, soma kwa makini tena tuliza akili yako usisome kama mtu anayeweweseka.

Nimeisoma sana tena kwa umakini ndipo nkagundua kwangu kuna hicho kigugumizi.....kama wewe umesoma vizuri sana zaidi yangu bhasi naomba unijibu hayo maswali ili niondokane na utata
 
Nimeisoma sana tena kwa umakini ndipo nkagundua kwangu kuna hicho kigugumizi.....kama wewe umesoma vizuri sana zaidi yangu bhasi naomba unijibu hayo maswali ili niondokane na utata

Mimi sio mwalimu kaka mi pia nategemea elimu ya kushirikishana. Ushauri ni kuisoma tena na tena tu. Utaelewa.
 
Wakuu wa JF
Katika kupitia katiba pendekezwa nimekumbana na huu utata hususani katika sehemu ya Makamu wa rais

Ibara ya 99- inasema kutakuwa na Makamu wa rais watatu ambao ni
(a) Makamu wa kwanza wa rais
(b) Rais wa Zanzibar ambaye atakuwa makamu wa pili wa rais na
(c) Waziri mkuu ambaye atakuwa makamu wa tatu wa rais.

Utata ukaanzia hapa:
Ibara 100(3) inasema Chama cha siasa chochote au mtu yeyote anayekusudia kugombea nafasi ya madaraka ya Rais, akiwa mgombea huru, hatazuiwa kumpendekeza mtu yeyote kuwa mgombea nafasi ya madaraka ya MAKAMU WA KWANZA WA RAIS kwa sababu tu kwamba mtu huyo kwa wakati huo ameshika nafasi ya madaraka ya RAIS WA ZANZIBAR

Swali:
1: Je kama huyu rais wa Zanzibar atateuliwa kugombea nafasi ya makamu wa rais wa kwanza wa JMT hii nafasi ya umakamu wa pili wa rais bado itakuwa ni yake ama itakuwaje hapo?

2: Ikiwa yeye ndiye makamu wa kwanza wa rais wa Jamhuri ya Muungano na rais wa JMT akiwa hayupo katika nafasi hyo kwa muda mfano akiwa amesafiri je panapohitajika uwakilishi wa sehemu zote mbili yaani Tanzania bara na visiwani na ikiwa shughuli hyo inaulazima wa kuhudhuliwa na viongozi wakubwa sana katika pande hizi mbili?

3: Napatwa na kigugumizi namna ya utekelezaji wa majukumu kwa pande mbili yaani huku akiwa makamu wa rais na huku ni rais je majukumu yake atatekelezaje kwa wakati mmoja?

Naomba kufanunuliwa hapo ili nipate uelewa zaidi maana naona kama kuna double standard katika hyo nafasi.

Nawasilisha.

Sehemu hiyo inajieleza vizuri kabisa ni vema mtoa mada ukaipitia tena kwa makini, usiwe na haraka pia angalia historia tulikotoka,pia soma Ibara ya 101 ,107 hapa inaeleza vizuri majukumu ya Makamu wa Rais kama Msaidizi Mkuu w wa Rais kuhusu mambo yote ya Jamhuri ya Muungano.
 
Wakuu wa JF
Katika kupitia katiba pendekezwa nimekumbana na huu utata hususani katika sehemu ya Makamu wa rais

Ibara ya 99- inasema kutakuwa na Makamu wa rais watatu ambao ni
(a) Makamu wa kwanza wa rais
(b) Rais wa Zanzibar ambaye atakuwa makamu wa pili wa rais na
(c) Waziri mkuu ambaye atakuwa makamu wa tatu wa rais.

Utata ukaanzia hapa:
Ibara 100(3) inasema Chama cha siasa chochote au mtu yeyote anayekusudia kugombea nafasi ya madaraka ya Rais, akiwa mgombea huru, hatazuiwa kumpendekeza mtu yeyote kuwa mgombea nafasi ya madaraka ya MAKAMU WA KWANZA WA RAIS kwa sababu tu kwamba mtu huyo kwa wakati huo ameshika nafasi ya madaraka ya RAIS WA ZANZIBAR

Swali:
1: Je kama huyu rais wa Zanzibar atateuliwa kugombea nafasi ya makamu wa rais wa kwanza wa JMT hii nafasi ya umakamu wa pili wa rais bado itakuwa ni yake ama itakuwaje hapo?

2: Ikiwa yeye ndiye makamu wa kwanza wa rais wa Jamhuri ya Muungano na rais wa JMT akiwa hayupo katika nafasi hyo kwa muda mfano akiwa amesafiri je panapohitajika uwakilishi wa sehemu zote mbili yaani Tanzania bara na visiwani na ikiwa shughuli hyo inaulazima wa kuhudhuliwa na viongozi wakubwa sana katika pande hizi mbili?

3: Napatwa na kigugumizi namna ya utekelezaji wa majukumu kwa pande mbili yaani huku akiwa makamu wa rais na huku ni rais je majukumu yake atatekelezaje kwa wakati mmoja?

Naomba kufanunuliwa hapo ili nipate uelewa zaidi maana naona kama kuna double standard katika hyo nafasi.

Nawasilisha.
Hebu tulia kama dakika tano usome kile unachotatizwa nacho. Jibu ni rahisi sana utalipata kwa haraka na utatamani kuondoa hoja yako. Hakuna kifungu cha sheria kinachozuia uwakilishi au kumzuia Rais kumteua kiongozi anayefaa kumwakilisha katika suala lolote. Uwakilishi hauna mipaka kwa wale ambao wanastahili kuteuliwa kumwakilisha. Mfano mwaka fulani Mzee Madiba Mandela aliwahi kumteua waziri wa mambo ya ndani kuwa Kaimu Rais wakati Mandela ameenda nje ya nchi. Hivyo na hawa unaowaongelea hata wakisafiri wote majukumu ya humu nchi yataendelea kama kawaida. Labda sielewi swali lako. Mimi naona utata upo akilini mwako na si katika utendaji. Kipengele cha kwanza unachouliza endapo Rais wa Zanzibar atateuliwa kugombea umakamu wa kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano je nafasi ya Rais wa Zanzibar itakuwa yake. Jibu ni la akiteuliwa kugombea nafasi hiyo inamaana anaachia nafasi ya Urais wa Zanziba. Mfano mdogo, babu yako Mzee Slaa alipoteuliwa kugombea urais mwaka 2010 aliachia nafasi yake ya kugombea ubunge wa Karatu. Simple! Hakuna utata.:biggrin1:
 
Wakuu wa JF
Katika kupitia katiba pendekezwa nimekumbana na huu utata hususani katika sehemu ya Makamu wa rais

Ibara ya 99- inasema kutakuwa na Makamu wa rais watatu ambao ni
(a) Makamu wa kwanza wa rais
(b) Rais wa Zanzibar ambaye atakuwa makamu wa pili wa rais na
(c) Waziri mkuu ambaye atakuwa makamu wa tatu wa rais.

Utata ukaanzia hapa:
Ibara 100(3) inasema Chama cha siasa chochote au mtu yeyote anayekusudia kugombea nafasi ya madaraka ya Rais, akiwa mgombea huru, hatazuiwa kumpendekeza mtu yeyote kuwa mgombea nafasi ya madaraka ya MAKAMU WA KWANZA WA RAIS kwa sababu tu kwamba mtu huyo kwa wakati huo ameshika nafasi ya madaraka ya RAIS WA ZANZIBAR

Swali:
1: Je kama huyu rais wa Zanzibar atateuliwa kugombea nafasi ya makamu wa rais wa kwanza wa JMT hii nafasi ya umakamu wa pili wa rais bado itakuwa ni yake ama itakuwaje hapo?

2: Ikiwa yeye ndiye makamu wa kwanza wa rais wa Jamhuri ya Muungano na rais wa JMT akiwa hayupo katika nafasi hyo kwa muda mfano akiwa amesafiri je panapohitajika uwakilishi wa sehemu zote mbili yaani Tanzania bara na visiwani na ikiwa shughuli hyo inaulazima wa kuhudhuliwa na viongozi wakubwa sana katika pande hizi mbili?

3: Napatwa na kigugumizi namna ya utekelezaji wa majukumu kwa pande mbili yaani huku akiwa makamu wa rais na huku ni rais je majukumu yake atatekelezaje kwa wakati mmoja?

Naomba kufanunuliwa hapo ili nipate uelewa zaidi maana naona kama kuna double standard katika hyo nafasi.

Nawasilisha.

Hakuna utata hapo. Maana yake atakapomteua mtu mwenye madaraka ya Rais wa znb kuwa Mgombea mwenza ataachia nafasi ya urais wa znz kwakuwa kiitifaki Makamu wa kwanza wa Rais ndiye mkubwa na ni msaidizi namba moja wa Rais wa muungano. Soma polepole utaelewa ingawa katiba yenyewe inalalamikiwa sana.
 
Hakuna utata hapo. Maana yake atakapomteua mtu mwenye madaraka ya Rais wa znb kuwa Mgombea mwenza ataachia nafasi ya urais wa znz kwakuwa kiitifaki Makamu wa kwanza wa Rais ndiye mkubwa na ni msaidizi namba moja wa Rais wa muungano. Soma polepole utaelewa ingawa katiba yenyewe inalalamikiwa sana.
Hongera kwa kumuelimisha huyo. Safi sana
 
Hakuna utata hapo. Maana yake atakapomteua mtu mwenye madaraka ya Rais wa znb kuwa Mgombea mwenza ataachia nafasi ya urais wa znz kwakuwa kiitifaki Makamu wa kwanza wa Rais ndiye mkubwa na ni msaidizi namba moja wa Rais wa muungano. Soma polepole utaelewa ingawa katiba yenyewe inalalamikiwa sana.

Hapo penye red ndipo palikuwa pananipa utata ila kwa sasa nmeelewa vizuri tu
 
Hapo penye red ndipo palikuwa pananipa utata ila kwa sasa nmeelewa vizuri tu

Mi nikupongeze kuleta mada hiyo maana hapa ndiyo eneo sahihi la sote kuelimishana maana tunatofautiana uelewa. Hongera sana Mmanu, nimshukuru pia Stanley kuwa chanzo cha maarifa ambayo yanaonesha kujituma kuyajua mambo yanayomhusu ya kikatiba
 
Mi nikupongeze kuleta mada hiyo maana hapa ndiyo eneo sahihi la sote kuelimishana maana tunatofautiana uelewa. Hongera sana Mmanu, nimshukuru pia Stanley kuwa chanzo cha maarifa ambayo yanaonesha kujituma kuyajua mambo yanayomhusu ya kikatiba

Ni kweli.
 
Back
Top Bottom