Huu utekaji nyara wa watoto wetu mashuleni na mitaani kisha kunyofolewa viungo vyao, nani mhusika?

Huu utekaji nyara wa watoto wetu mashuleni na mitaani kisha kunyofolewa viungo vyao, nani mhusika?

Bulelaa

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2024
Posts
1,342
Reaction score
3,247
Kule Bagamoyo shule ya Majengo na Jitegemee, watoto jumla watano wametekwa.

Kule makurunge watoto sita wametekwa, waandishi wa habari mko wapi, Wana usalama mko wapi jamani.

Wizara husika mko wapi? Shime shime Watanzania, leo kuna shule huko Bagamoyo watoto wamegoma kwenda shule na msimamo wa baadhi ya wazazi hawamtaki watoto wao waende shule hadi wahakikishiwe usalama wao watoto wawapo shuleni.

Tunakwenda wapi?
 
Kule Bagamoyo shule ya Majengo na Jitegemee, watoto jumla watano wametekwa

Kule makurunge watoto sita wametekwa, waandishi wa habari mko wapi, Wana usalama mko wapi jamani

Wizara husika mko wapi? Shime shime Watanzania, leo kuna shule huko Bagamoyo watoto wamegoma kwenda shule na msimamo wa baadhi ya wazazi hawamtaki watoto wao waende shule hadi wahakikishiwe usalama wao watoto wawapo shuleni

Tunakwenda wapi?
Mbona mnatuchanganya sana dola inasema huo ni uzushi wananchi mnabiga kelele kweli..
 
nipo kanda ya ziwa maeneo ya tarime kuna binti wa miaka 10 kapotea mwez huu unaenda wa pili,mwanza kituo cha polisi kuna mama mmoja kapotelewa na mtoto wa shemeji yake amekuja kutoa taarifa,pia tarime mtoto mmoja wa miaka 5 alipotea asubuh jion kaja kupatikana mazingira tata,mwingine ni binti wa miaka 9 inasemekana alitekwa had akaenda kenya akiwa amefungwa kitambaa usoni akaskia waliomteka wanabishana kuhusu bei ya kumleta pale kwa mnunuzi badae yule mnunuzi akadai alitaka mtoto wa kiume hivyo yeye wamtoe akapelekwa porini kisha akafunguliwa kitambaa usoni na kutelekezwa hapo,stori ni ndefu ila alirudi tarime yuo hoi.kimsingi mtoa mada ana hoja na hali hii huwa inaongezeka ikikaribia UCHAGUZI. rip asimwe
 
Kule Bagamoyo shule ya Majengo na Jitegemee, watoto jumla watano wametekwa

Kule makurunge watoto sita wametekwa, waandishi wa habari mko wapi, Wana usalama mko wapi jamani

Wizara husika mko wapi? Shime shime Watanzania, leo kuna shule huko Bagamoyo watoto wamegoma kwenda shule na msimamo wa baadhi ya wazazi hawamtaki watoto wao waende shule hadi wahakikishiwe usalama wao watoto wawapo shuleni

Tunakwenda wapi?
Media za kibongo wako bize kucheza komasava,kuzungumzia umbea udaku mipira

Ova
 
Wanausalama wa Tz wanafunzo ya kulinda viongozi tu wabaki madarakani vinginevyoo hakuna........

Lakini leo ukimtukna raisi hata kama upo njombe vijijini lazima mkuu wa mkoa mkuu wa wllayaaa ect wachanganyikie kukusaka.....sadiiiiijk
 
Back
Top Bottom