stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Wenye mamlaka wanasema ni drama na hao wanajiteka wenyewe kwa hio wasisumbue vichwa vya wakubwaMkuu, hii ni inshu siriaz aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenye mamlaka wanasema ni drama na hao wanajiteka wenyewe kwa hio wasisumbue vichwa vya wakubwaMkuu, hii ni inshu siriaz aisee
Labda mpaka akitekwa mmoja wao ndio itakua sio dramaKila kitu wao wanaona drama, ila kuwekeana sumu wao kwa wao ni kweli
Hii kitu inafanyika na hao hao waliyoko juu eidha kumhujumu mama au ndiyo dili za wanasiasaHuu ni uhujumu sasa, hao wanaoteka watakuwa wametumwa kwa kusudi na dhamira wanazojua wao
Mungu awalinde watoto wetu
Ila wasakwe na jamii na wahukumiwe na jamii pia washenzi hao wanaovuruga amani kwa lengo lao
Tulishakubariana ukinaswa kwa style hio piga kelele ujaze Watu usiondoke kizembe hivyo, piga kelele wananibakaaaa huku wananibakaaaaaaaNmepewa taarifa juzi mitaa ya KINO B,kuna mtu alikuwa kwenye bajaji anandesha ikaja gari ikampiga tachi,wakamshusha wakaondoka naye...
Sasa mtu kama anachukuliwa kwa style hyo huwezi jua ,je wanaenda mnyofoa viungo
Au jamaa amechukua mke wa mtu au kadhulumu hatujuwi
Maaskari wengi Bagamoyo na Chalinze wamekimbilia barabarani kubambikia watu speed. Mfano askari waliopo Msata wanabambikia sana madereva speed. Kabla hujavuka daraja la Wami mita chache tu Kuna kibao Cha 50 na ukivuka mita chache tu unakuta kibao Cha katizo la speed 50. Sasa wamekaa kituo cha Kijiji kinachofuata kabla ya kufika Msata ukitokea Wami. Wanakula rushwa ru kwa speed za kubambikia,kwasababu wengi hawatambui mwanzo na mwisho wa speed 50. Rpc pwani tunakuomba pangua hao askari wakasimamie usalama wa watoto wetu vijijini na mashuleni.Kule Bagamoyo shule ya Majengo na Jitegemee, watoto jumla watano wametekwa
Kule makurunge watoto sita wametekwa, waandishi wa habari mko wapi, Wana usalama mko wapi jamani
Wizara husika mko wapi? Shime shime Watanzania, leo kuna shule huko Bagamoyo watoto wamegoma kwenda shule na msimamo wa baadhi ya wazazi hawamtaki watoto wao waende shule hadi wahakikishiwe usalama wao watoto wawapo shuleni
Tunakwenda wapi?
Hilo la kwanza linawezekana piaHii kitu inafanyika na hao hao waliyoko juu eidha kumhujumu mama au ndiyo dili za wanasiasa
Nmepewa taarifa juzi mitaa ya KINO B,kuna mtu alikuwa kwenye bajaji anandesha ikaja gari ikampiga tachi,wakamshusha wakaondoka naye...
Sasa mtu kama anachukuliwa kwa style hyo huwezi jua ,je wanaenda mnyofoa viungo
Au jamaa amechukua mke wa mtu au kadhulumu hatujuwi
Ova
Chaguzi zipo Jirani na kazi inayolipa Kwa sasa ni siasaKule Bagamoyo shule ya Majengo na Jitegemee, watoto jumla watano wametekwa
Kule makurunge watoto sita wametekwa, waandishi wa habari mko wapi, Wana usalama mko wapi jamani
Wizara husika mko wapi? Shime shime Watanzania, leo kuna shule huko Bagamoyo watoto wamegoma kwenda shule na msimamo wa baadhi ya wazazi hawamtaki watoto wao waende shule hadi wahakikishiwe usalama wao watoto wawapo shuleni
Tunakwenda wapi?
Wanajuwa fika kinachoendeleaHilo la kwanza linawezekana pia
Mataukio yanatokea karibia na uchaguzi na serikali kimya why
Waziri wa ulinzi wa zamani alipata ajali watu wakapitia simu zao mpaka Pistol
Wajeda walikwendwa walipiga kijiji kizima within hours kila kitu kilipatikana
Wakitaka wanaweza kwa siku chache tu kuwakamata hao watu ila kama ni mchongo na hujumu basi tutegemee mengi
Hao wazazi ndio wapiga kura na watoto ni taifa la kesho kwa nini wanafanya haya
Kuna maswali mengi sana
Na matukio mengi yanaendelea ila yatajulikana
Au SGR wanaona riziki zao za biashara ya Mabasi yamepungua
Basi kwa style hiyo wanasiasa hawa viongozi watatumalizaChaguzi zipo Jirani na kazi inayolipa Kwa sasa ni siasa
Umenikumbusha mbali sana rizione ongea na mshua
Je mlikumbuka kuwaombea na watekaji?Jana tulifanya Maombi maalumu pale KKKT Azania Front kuliombea taifa
😄 wao si wako karibu naoUmenikumbusha mbali sana rizione ongea na mshua
Mnaitwa huku wajameni.
Kweli kabisaWanajuwa fika kinachoendelea
Ova
Amiin Yaa RaabAs salaam alaikhum ndugu zangu Leo jumma Mubarak tukienda masjid baadae tuombe kwa mola mlezi kuwanusuru watoto wetu. Amiin.