Huu uteuzi wa mara kwa mara wanafunzi watajibu nini shuleni?

Huu uteuzi wa mara kwa mara wanafunzi watajibu nini shuleni?

BabaMia

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2024
Posts
270
Reaction score
554
Habari wana JF? Kipindi Cha nyuma tulikuwa tunawajua viongozi na vitengo vyao vya kazi. Walikuwa wanahudumu kwa mda mrefu bila kutenguliwa au labda ajiuzulu.

Kwa Sasa tunawajua majina lakini hatujui idara zao Kwasababu ya kuhamishwa mara kwa mara . Anateuliwa Usiku na anatenguliwa asubuhi.

Mwanafunzi atajibu nini kwenye mitihani?
 
Sio lazima kujibu maswali ya ccm ,nchi imeuzwa na ccm uwajue ili ugundue nini?
 
Flexibity kwao ndio kitu muhimu hususan kwenye contemporary issues no matter what it takes
 
Habari wana JF? Kipindi Cha nyuma tulikuwa tunawajua viongozi na vitengo vyao vya kazi. Walikuwa wanahudumu kwa mda mrefu bila kutenguliwa au labda ajiuzulu. Kwa Sasa tunawajua majina lakini hatujui idara zao Kwasababu ya kuhamishwa mara kwa mara . Anateuliwa Usiku na anatenguliwa asubuhi. Mwanafunzi atajibu nini kwenye mitihani?
Akili yako haina akili kabisa,watu wanawaza kuishi sayari ya mbali kwa mavumbuzi mbalimbali wewe unawaza vijana wakalilishwe majina ya viongozi mafisadi?
 
Back
Top Bottom