Huu uzi ni kwa wanaojimbua tu kwa madini yake kuhusiana na dini nyemelezi za kigenin

Huu uzi ni kwa wanaojimbua tu kwa madini yake kuhusiana na dini nyemelezi za kigenin

Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
7,672
Reaction score
9,039
Kupitia dini hizi mbili nyemelezi yaani uislamu na ukiristo:
1. Waafrika waliuzwa utumwani kwa ushirikiano wa waarabu na wazungu.
2. Afrika ilitawaliwa kikoloni,
3. Majina na mila za kiafrika vilipigwa marufuku na kuuawa,
4. Ardhi yetu ilitwaliwa. Kanisa liliiba ardhi yetu na kuwa mmilki mkubwa wa ardhi, kututoza sadaka na zaka wakati zikidai miungu yao ni matajiri,
5. Afrika inapoteza fedha nyingi kwa watu wake kwenda kuhiji na kutembelea 'sehemu takatifu' wakati ni mahali pa makaburi ya mababu zao,
6. Afrika ilipoteza lugha zake. Tunafundishiwa kiarabu na wakati fulani kilatini,
7. Wake zetu wanadhalilishwa kuwa waume zao ni vichwa, sijui wao ni nini? Ukitaka kuona udhalilishaji huu angalia passport au vitambulisho vyako. Vina kichwa tu.
8. Wanawake wetu wamegeuzwa wafungwa kwenye miili yao. Wanavalishwa ninja.
9. Afrika ililetewa uzinzi na ushoga. Rejea uzinzi wa Suleimani, kuruhusu mibaba mizima kubaka watoto hadi miaka 9 kwa kisingizio cha kuoa. Rejea ngano za Sodoma na Gomora,
10. Kugeuzwa maskini kwa kutegemea miujiza badala ya kubuni, kufikiri, na kuchapa kazi,
11. Kutoa fursa kwa matapeli wa kiroho kuwaibia watu wetu wajinga, maskini, na waliokata tamaa,
12. Kutugawanya na kutuchonganisha. Rejea vikundi vya kigaidi vilivyotamalaki kila penye utajiri,
13. Kutuaminisha kuwa kuna pepo baada ya kufa wakati wao wakiishi peponi hapa duniani kwa fedha na utajiri wetu,
14. Kubaka, kulawiti na kuzini watu wetu. Rejea kashfa ya kanisa katoliki inayovuma kwa sasa,
15. Kutuua mfano mtu anapoacha uislam na kuingia dini nyingine,
16. Kutupotezea muda tukifundishwa kukariri upuuzi badala ya kusoma sayansi,
17. Kutuita majina mabaya na kutugeuza wanyama. Rejea wakristo wanavyoitwa kondoo na siyo simba na waislamu wanavyoita watu makafiri na wagalatia na upuuzi mwingine,
18. Kuchoma maktaba zetu wakieneza dini zao,
19. Kutudanganya na amri kumi zinazoitwa za mungu ambazo walizivunja zote,
20. Kutupeleleza na kutoa habari kwa wakoloni baada ya kujua siri zetu kupitia kutubu dhambi,
21. Kutufarakanisha, kutugeuza mazwazwa wanaochukiana na kuuana kwa ajili ya imani za wengine,
22. Kutubagua, rejea hakuna papa wala imama mkuu wa maka mswahili, maswahiba na warithi wa mohamed yaani mahalifa wote ni waarabu, vitu vyote vyeupe ni vitakatifu wakati vyeusi ni laana,
23. Kutufanya tutukane na kukana mila zetu,
24. Kutufundisha hata namna ya kuchamba,
25. Kutupangia tule na kunywa nini,
26. Kusababisha makelele (noise pollution) kwa mikesha na azana misikitini.
ONGEZA CHAKO TAFADHALI.
NAWASILISHA.
 
Washkuriwe wagen, vinginevyo tungekuwa tunaish na cannibals had leo..!
Siungi yote ya mtoa mada, lakini na wewe umejuaje kama hali ingeendelea kuwa hivyo? Hata nje ya Afrika kuna jamii zilikuwa zinafanya hivyo.
 
Siku nikiwa Rais wa hii nchi kitu vcha kwanza kabisa ni kuharamisha hizi dini mbili..full stop
 
Hasa, Qur'an inasisitiza kuwa thamani ya mtu haitegemei kabila, taifa, rangi, au kabila lolote. Katika Uislamu, heshima ya mtu hupimwa kwa uchamungu na tabia njema. Maneno haya yanasisitizwa na Mtume Muhammad (S.A.W), ambaye alisema katika Hotuba yake ya Mwisho (Hija ya Kuaga):

"Enyi watu! Hakika Mola wenu ni Mmoja, na baba yenu ni mmoja. Mwarabu hana ubora juu ya asiye Mwarabu, wala asiye Mwarabu hana ubora juu ya Mwarabu. Wala mweupe hana ubora juu ya mweusi, wala mweusi hana ubora juu ya mweupe, isipokuwa kwa uchamungu (taqwa) na matendo mema."

Maneno haya yanaonyesha kuwa Uislamu unakataa ubaguzi wa aina yoyote. Heshima ya mtu inategemea matendo na uchamungu wake kwa Mwenyezi Mungu, na siyo rangi au kabila.
 
Hasa, Qur'an inasisitiza kuwa thamani ya mtu haitegemei kabila, taifa, rangi, au kabila lolote. Katika Uislamu, heshima ya mtu hupimwa kwa uchamungu na tabia njema. Maneno haya yanasisitizwa na Mtume Muhammad (S.A.W), ambaye alisema katika Hotuba yake ya Mwisho (Hija ya Kuaga):

"Enyi watu! Hakika Mola wenu ni Mmoja, na baba yenu ni mmoja. Mwarabu hana ubora juu ya asiye Mwarabu, wala asiye Mwarabu hana ubora juu ya Mwarabu. Wala mweupe hana ubora juu ya mweusi, wala mweusi hana ubora juu ya mweupe, isipokuwa kwa uchamungu (taqwa) na matendo mema."

Maneno haya yanaonyesha kuwa Uislamu unakataa ubaguzi wa aina yoyote. Heshima ya mtu inategemea matendo na uchamungu wake kwa Mwenyezi Mungu, na siyo rangi au kabila.
Ngonjera zile zile. Mbona kwenye utumwa na majina hayakufanya kazi
 
Washkuriwe wagen, vinginevyo tungekuwa tunaish na cannibals had leo..!
Au tungekuwa tunachinja mbuzi na kumwaga pombe makaburini

Au bado mabinti zetu wangekuwa wana keketwa

Au bado tungekuwa tunazikana kama wanyama

Washukuriwe wale wote walio tuletea habari njema za ukombozi wa kiroho na kiimani.
 
Au tungekuwa tunachinja mbuzi na kumwaga pombe makaburini

Au bado mabinti zetu wangekuwa wana keketwa

Au bado tungekuwa tunazikana kama wanyama

Washukuriwe wale wote walio tuletea habari njema za ukombozi wa kiroho na kiimani.
Kuchunja mbuzi inakuogopesha mkuu???vp kuhusu wahindu na wachina???
 
Kupitia dini hizi mbili nyemelezi yaani uislamu na ukiristo:
1. Waafrika waliuzwa utumwani kwa ushirikiano wa waarabu na wazungu.
2. Afrika ilitawaliwa kikoloni,
3. Majina na mila za kiafrika vilipigwa marufuku na kuuawa,
4. Ardhi yetu ilitwaliwa. Kanisa liliiba ardhi yetu na kuwa mmilki mkubwa wa ardhi, kututoza sadaka na zaka wakati zikidai miungu yao ni matajiri,
5. Afrika inapoteza fedha nyingi kwa watu wake kwenda kuhiji na kutembelea 'sehemu takatifu' wakati ni mahali pa makaburi ya mababu zao,
6. Afrika ilipoteza lugha zake. Tunafundishiwa kiarabu na wakati fulani kilatini,
7. Wake zetu wanadhalilishwa kuwa waume zao ni vichwa, sijui wao ni nini? Ukitaka kuona udhalilishaji huu angalia passport au vitambulisho vyako. Vina kichwa tu.
8. Wanawake wetu wamegeuzwa wafungwa kwenye miili yao. Wanavalishwa ninja.
9. Afrika ililetewa uzinzi na ushoga. Rejea uzinzi wa Suleimani, kuruhusu mibaba mizima kubaka watoto hadi miaka 9 kwa kisingizio cha kuoa. Rejea ngano za Sodoma na Gomora,
10. Kugeuzwa maskini kwa kutegemea miujiza badala ya kubuni, kufikiri, na kuchapa kazi,
11. Kutoa fursa kwa matapeli wa kiroho kuwaibia watu wetu wajinga, maskini, na waliokata tamaa,
12. Kutugawanya na kutuchonganisha. Rejea vikundi vya kigaidi vilivyotamalaki kila penye utajiri,
13. Kutuaminisha kuwa kuna pepo baada ya kufa wakati wao wakiishi peponi hapa duniani kwa fedha na utajiri wetu,
14. Kubaka, kulawiti na kuzini watu wetu. Rejea kashfa ya kanisa katoliki inayovuma kwa sasa,
15. Kutuua mfano mtu anapoacha uislam na kuingia dini nyingine,
16. Kutupotezea muda tukifundishwa kukariri upuuzi badala ya kusoma sayansi,
17. Kutuita majina mabaya na kutugeuza wanyama. Rejea wakristo wanavyoitwa kondoo na siyo simba na waislamu wanavyoita watu makafiri na wagalatia na upuuzi mwingine,
18. Kuchoma maktaba zetu wakieneza dini zao,
19. Kutudanganya na amri kumi zinazoitwa za mungu ambazo walizivunja zote,
20. Kutupeleleza na kutoa habari kwa wakoloni baada ya kujua siri zetu kupitia kutubu dhambi,
21. Kutufarakanisha, kutugeuza mazwazwa wanaochukiana na kuuana kwa ajili ya imani za wengine,
22. Kutubagua, rejea hakuna papa wala imama mkuu wa maka mswahili, maswahiba na warithi wa mohamed yaani mahalifa wote ni waarabu, vitu vyote vyeupe ni vitakatifu wakati vyeusi ni laana,
23. Kutufanya tutukane na kukana mila zetu,
24. Kutufundisha hata namna ya kuchamba,
25. Kutupangia tule na kunywa nini,
26. Kusababisha makelele (noise pollution) kwa mikesha na azana misikitini.
ONGEZA CHAKO TAFADHALI.
NAWASILISHA.
Uzuri ni kwamba mambo ya dini haulazimishwi unaweza ukayafuata pia unaweza ukaachana nazo chaguo ni lako
 
1. Dini zimesababisha waafrika tunajidharau kwa kila hali. Tazama michango inayotolewa na baadhi yetu huku. Kile kiitwacho 'inferiority complex kinajidhihirisha'.

2. Leo hii mmakonde mkristu anashindwa kumuoa mmakonde muislamu kisa wazungu na waarabu walisema.

3. Majina ya kiafrika yanapotea. Ya kizungu na kiarabu ndiyo yanatawala. Utumwa wa kitamaduni.

4. Waafrika wamejazwa hofu ya mungu. Usipokuwa na hofu unaonekana wa ajabu. Hofu imefanywa kama 'value' fulani ya maana sana.
 
Back
Top Bottom