Lukonge
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 1,469
- 2,086
Sijakuelewa hapa mana umezungumzia mambo mengi kwa pamoja halafu haviendani.
Kila kitu hapo hakuna ht kimoja kinachosababisha vidonda vya tumbo, em fikiria mtu ameungua mgongo mzima hy inasababisha Vp damu kutokufika tumboni.?
Au
Soma hapa: