Huu uzushi kuwa vidonda vya tumbo vinasababishwa na njaa ulitokea wapi?

Huu uzushi kuwa vidonda vya tumbo vinasababishwa na njaa ulitokea wapi?

Sijakuelewa hapa mana umezungumzia mambo mengi kwa pamoja halafu haviendani.
Kila kitu hapo hakuna ht kimoja kinachosababisha vidonda vya tumbo, em fikiria mtu ameungua mgongo mzima hy inasababisha Vp damu kutokufika tumboni.?
Au tangu lini msongo wa mawazo ikasababisha vidonda vya tumbo.?
Operesheni kubwa ipi hy inazuia damu kufika tumboni.?
Ahaha imenibidi na mimi nicheke tu.

Wanauchukulia mwili poaa saaana kwamba mwili ni mpumbavu saaana wa kusahau majukumu yake.

Mwili ambao wakati upo mtoto mwili huo jmejitengenezea moyo wake wenyewe kiungo ambacho ni very complex hivi kweli mwili huo utashindwa kufikisha damu tumboni eti kisa mgongo umeungua na moto ?
 
Me sio daktar ila nilivyo sikia kuhusu vidonda vya tumbo na njaa ya muda mrefu ni kwamba unapokaa muda mrefu bila kula kinachotokea tumbo linakuw tupu SS vile vimeng'eny vinakosa chakumeng'eny hapo vinaanza kukangua tumbo na mwisho wa siku mtu anaangukia vidonda vya tumbo
 
Back
Top Bottom