Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]bandari haiuzwi
Umetumiwa majiniWataalam wa hizi kazi naomba maana ya kilochoandikwa kwenye picha hii.
Hili karatasi nimeliokota jirani na mlango wa chumba changu
Asanteni
Mambo ya WAkuu wa Giza ,pigwa mikosi nk .unapolala kwa sasa unaota nn? Mie najua kusambaratisha hao viumbe naona wake summon the devil😂 vita imeanza kivumbi kimekufikia,amani uliyonayo mbioni kuponyoka,mafundi wa ulimwengu wanataka wakuonyeshe ufundi wao!.
Upo kwenye ww3
unaambiwa acha mke wa wenyewe. ataharibu familia yakoWataalam wa hizi kazi naomba maana ya kilochoandikwa kwenye picha hii.
Hili karatasi nimeliokota jirani na mlango wa chumba changu
Asanteni
Mi nimewaza hivo.Sio mtt alikua anakremisha mambo ya madrasa
Asiwaze sanaMi nimewaza hivo.
Hawa wanaochora chora haya maneno waganga wengi au almost 100% ni matapeli.Asiwaze sana
Kwakweli na walishajua wa Tz wengi wanajua kiarbu kikiandikwa kwa wino mwekundu ni majini...Hawa wanaochora chora haya maneno waganga wengi au almost 100% ni matapeli.