Huu waraka una maana gani?

Huu waraka una maana gani?

😂 vita imeanza kivumbi kimekufikia,amani uliyonayo mbioni kuponyoka,mafundi wa ulimwengu wanataka wakuonyeshe ufundi wao!.
Upo kwenye ww3
Mambo ya WAkuu wa Giza ,pigwa mikosi nk .unapolala kwa sasa unaota nn? Mie najua kusambaratisha hao viumbe naona wake summon the devil
 
Wataalam wa hizi kazi naomba maana ya kilochoandikwa kwenye picha hii.
Hili karatasi nimeliokota jirani na mlango wa chumba changu

Asanteni
unaambiwa acha mke wa wenyewe. ataharibu familia yako
 
Aisee kumbe ukitaka kumuhamisha mbongo unahitaji kalamu na karatasi tu na dakika chache za kuandika....

Ushauri achana na hayo mambo yapuuze wala hayatakusumbua, tena kama huwa unahitaji karatasi za kuwashia mkaa waambia hao wadau waendelee kukuletea hizo malighafi za karatasi
 
Screenshot_20230926-202752_Google.jpg
 
Back
Top Bottom