Asante Sana mkuu nilikuwa nautafuta Sana ninaweza kusema Huu ndio wimbo wangu Bora kwa mwaka jana.Zee x Hamadai_Nakuja
Numbisa kwanini umpendi Alikiba?Uno wa harmo
Thank you, Huu wimbo naupenda sana na nimeangaika kutafuta Sana.
Kweli tumetofautiana kwenye sikio la mziki.