Huu wimbo wa Nikki na Joh Makini ni Dongo kwa Le Mutuz?

Status
Not open for further replies.
Hahaa haa lemutuz kumjibu Nick wa pili.
 
HahahahahahahahHahaha yu have made my day hahahahaha we ni mtunzi mzuri sana big up
 
U celeb wakutafuta namna hii,hasa ukizingatia umri na mazingira ni hatari kwa mstakabali wa jamii
 
alalalala kumbu sura ya huyo mchizi ndo hiyo nlikua cmjuagi kwa sura du! hahaha
 
Muanzisha uzi umetisha sana umefanya nijenge picha ya Le mutuz kama hiyo ngoma ataamua kuifanyia kideo halafu agonge ile bukta yake nyeupe ambayo kwa mbali unaweza ukadhani kavaa sketi
Hahahahaha
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…