GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Hizi tuhuma haziwezi kumweka huyu mwimbaji matatani?
Nyimbo zake zinaruhusiwa nchini?
Nyimbo zake zinaruhusiwa nchini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huyu jamaa ni shost kwahiyo hata akili zake hazi fanyi kazi sawasawa yaani kutoka kuwa tapeli waumini mpaka kuwa mwana siasa kweliiiHizi tuhuma haziwezi kumweka huyu mwimbaji matatani?
Nyimbo zake zinaruhusiwa nchini?
mwangalie anavyoweka mikono anaofauti hgani na kina dada jamani huyu jamaaHizi tuhuma haziwezi kumweka huyu mwimbaji matatani?
Nyimbo zake zinaruhusiwa nchini?
Atakuwa shost mwenzako unaonekana unamfahamu vizuri sana.huyu jamaa ni shost kwahiyo hata akili zake hazi fanyi kazi sawasawa yaani kutoka kuwa tapeli waumini mpaka kuwa mwana siasa kweliii
yaani huyo ni ,,,,,,,,,,,kabisa wala hajifichi wewe tu ndiyo umechelewa kujuwaAtakuwa shost mwenzako unaonekana unamfahamu vizuri sana.
CCM walimuua babakoAmesema ni Bora afe lakini aseme ukweli. Na alichosema ndo ukweli wenyewe.
Munishi ni jambazi enzi hizo na alikimbilia kenya kukwepa mono wa sheriaHizi tuhuma haziwezi kumweka huyu mwimbaji matatani?
Nyimbo zake zinaruhusiwa nchini?
CCM ndio adui namba moja wa MtanzaniaHizi tuhuma haziwezi kumweka huyu mwimbaji matatani?
Nyimbo zake zinaruhusiwa nchini?
Ujambazi wake unazidi ccm?Munishi ni jambazi enzi hizo na alikimbilia kenya kukwepa mono wa sheria
USSR
Au safari hii hawatotumia" Sindano za Sumu" kwa huyu Msanii?!CCM walimuua babako
USSR
Sasa huyu kiongozi wetu wa dini hata majibu hayajatokea anaanza kuhukumu kweli . Siasa zisitumike kufanya faraka.