Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ExactlyAsset ownership is the only way to achieve financial security. Not a salary.
ama kweli mnajuna kwa vilemba, mana mpaka kufikia hapa sikujua kabs mtoa uzi anaongelea nini, walimu mnakazi sanaKwa hiyo mzigo tayari
Bila mwalimu usingeweza kuumba herufi🤣🤣ama kweli mnajuna kwa vilemba, mana mpaka kufikia hapa sikujua kabs mtoa uzi anaongelea nini, walimu mnakazi sana
Kwani mmeongezewa kiasi gani
Mkuu samahani hivi mishahara ya Wana halmashauri inalipwa na halmashauri husika au hazina ?Serikali yetu mlisema mtatuongezea wafanyakazi wenu pesa yote ya mwezi wa saba na huu serikali imetuongezea pesa ya mwezi mmoja tu.
Level moja na mtu wa halimashauri nyingine ongezeko limetofautiana. Huu ni wizi. Hzi halmashauri za mwisho wa nchi ziangalieni zinatuibia saana watumishi wake. Fuatileni mkoa husika
Mkuu samahani hivi mishahara ya Wana halmashauri inalipwa na halmashauri husika au hazina ?
Basi maelezo ya jamaa niliyem quote hayako sahihi.Hazina
Pesa imeongezwa kutokana na Daraja lako na scale yako ya mshahara pia kwa kuzngatia Ajira yako ikiwemo Umeajiriwa lini na Nidhamu kazini as well as umejaza OPRAS je vigezo Na masharti vinakutambua kama unapaswa ulipwe......Serikali yetu mlisema mtatuongezea wafanyakazi wenu pesa yote ya mwezi wa saba na huu serikali imetuongezea pesa ya mwezi mmoja tu.
Level moja na mtu wa halimashauri nyingine ongezeko limetofautiana. Huu ni wizi. Hzi halmashauri za mwisho wa nchi ziangalieni zinatuibia saana watumishi wake. Fuatileni mkoa husika
Mpwayungu Village. ualimu ni kazi ya laanaama kweli mnajuna kwa vilemba, mana mpaka kufikia hapa sikujua kabs mtoa uzi anaongelea nini, walimu mnakazi sana