nakumbuka miaka ya nyuma niliwahi kuwa na mpenzi wangu ambaye mpaka leo nimeshindwa kumuelewa alikuwa akimaanisha nini.kila siku alikuwa akifika kulala kwangu lazima aache nguo yake ya ndani aliyokuja nayo na yeye kuondoka bila vazi hilo.mara ya kwanza na ya pili sikuona tatizo,lakini zilipofikia kumi na bado anaziacha nilishindwa kuelewa nikamuuliza,sikupata jibu lolote zaidi ya kicheko na kikafuatiwa na halohaloooo.sasa ndugu zangu naomba msaada alikuwa anamaanisha nini huyu mwenzangu?
duh,wanawake wote wanafanana...
du sio wote sikumbuki mara ya mwisho nimeenda lini kwa mpenzi wangu:coffee:
Nadhani ni wewe pekee uliyemuelewa vizuri mtoa mada kati ya wote walio-comment kabla yako.Hii kali.. mi mwanamke lakini hapa sin jibu. Yaani anarudi bila chupi? na ameziacha mpaka kumi, duuu hata kama security warudi uchi? zote kumi? Mhh
mhhh kwani nyie mnaachaga nini mkienda kwa mademu zenu:sick:
:A S 20::A S 20:Akina mama/dada mpooooooooooo? Tunaomba kujua kwanini mnaacha nguo zenu kwa wanaume? Je ni kweli kwa ajili ya security au? Au kwenu hakuna masanduku/mabegi ya kutosha kutunzia nguo zenu? Au kwenu kuna Mende sana hivyo mnaogopa zitaliwa na memde? :A S 20::A S 20:
wanaachaga ndom tena anazihesabu kabisa ole wako akute zimepungua
Hii kali.. mi mwanamke lakini hapa sin jibu. Yaani anarudi bila chupi? na ameziacha mpaka kumi, duuu hata kama security warudi uchi? zote kumi? Mhh
au ziweke chin ya kapet na si juu ya dressng pale kwenye drooo...haha hahh rahaaa kwel kweli
macho yanamtoka nan katumia...hahaa hhha unamkata main unamjibu nilitumia kuoshe avyombo ahhh :laugh::laugh:!!!!
hahahaha raha kweli kumjibu, "mpenzi nilikuwa nafanya usafi leo bahati mbaya nikazitupa kisha mwangile usoni alivyopaniki
wanaume weng wavivu wa kufikiri.....ANY WAY WANAUME WOTE WANAFANANA.....so to speak ryt?duh,wanawake wote wanafanana...
labda huna now?lol
duh,wanawake wote wanafanana...
au ziweke chin ya kapet na si juu ya dressng pale kwenye drooo...haha hahh rahaaa kwel kweli
macho yanamtoka nan katumia...hahaa hhha unamkata main unamjibu nilitumia kuoshe avyombo ahhh :laugh::laugh:!!!!
Nakumbuka miaka ya nyuma niliwahi kuwa na mpenzi wangu ambaye mpaka leo nimeshindwa kumuelewa alikuwa akimaanisha nini.Kila siku alikuwa akifika kulala kwangu lazima aache nguo yake ya ndani aliyokuja nayo na yeye kuondoka bila vazi hilo.Mara ya kwanza na ya pili sikuona tatizo,lakini zilipofikia kumi na bado anaziacha nilishindwa kuelewa nikamuuliza,sikupata jibu lolote zaidi ya kicheko na kikafuatiwa na halohaloooo.Sasa ndugu zangu naomba msaada alikuwa anamaanisha nini huyu mwenzangu?
duh,wanawake wote wanafanana...