Huwa mna-deal vipi na mpenzi mwenye roho ya Ubinafsi na Uchoyo?

Huwa mna-deal vipi na mpenzi mwenye roho ya Ubinafsi na Uchoyo?

Goofy_

Member
Joined
Mar 7, 2024
Posts
79
Reaction score
253
Habari..

Mpenzi niliye nae nampenda sana, ni mama kijacho Kwa sasa. Tangu nimeanza kuwa karibu nae zaidi nagundua ana vijitabia ambavyo sio vizuri Kwa upande wangu. Anaonekana ni mbinafsi sana.

Ninaweza kwenda kumwona nimenunua matunda au kitu chochote ambacho tunaweza ku-share Kwa pamoja, lakini ikifika muda wa kula unashangaa anakuuliza "Nawewe unakula?", au "Nikupe na wewe?" Maswali kama haya huwa yananikata sana. Naweza nikaenda kwake labda jioni nikakaa hadi usiku. Hata kama Sina ratiba ya kulala kwake, anaweza akawa anapika chakula anakuuliza "nawewe unakula?"

Juzi usiku nikiwa kwake, alikuja rafiki yake kumtembelea. Nilimpa pesa akahemee apike chakula, nikamuagiza anunue na Bites ili walau tutafune akiwa anarekebisha chakula. Karudi kauliza swali hilohilo, "Nawewe Nikupe"? Nikasema hapana. Ikabidi rafiki yake amchane aache maswali ya namna hiyo Kwa kuwa yanaashiria Uchoyo, it's better umpe mtu, kama hayuko interested atakwambia. Nikapotezea tu as if sikusikia maongezi yao.

Katika tabia sivutiwi nazo ni hii, sio kwangu tu, nimenotice sehemu tofauti akiionyesha. Naombeni mawazo yenu ya kibusara nimsaidie ajirekebishe aache huu upuuzi
 
Habari..

Mpenzi niliye nae nampenda sana, ni mama kijacho Kwa sasa. Tangu nimeanza kuwa karibu nae zaidi nagundua ana vijitabia ambavyo sio vizuri Kwa upande wangu. Anaonekana ni mbinafsi sana.

Ninaweza kwenda kumwona nimenunua matunda au kitu chochote ambacho tunaweza ku-share Kwa pamoja, lakini ikifika muda wa kula unashangaa anakuuliza "Nawewe unakula?", au "Nikupe na wewe?" Maswali kama haya huwa yananikata sana. Naweza nikaenda kwake labda jioni nikakaa hadi usiku. Hata kama Sina ratiba ya kulala kwake, anaweza akawa anapika chakula anakuuliza "nawewe unakula?"

Juzi usiku nikiwa kwake, alikuja rafiki yake kumtembelea. Nilimpa pesa akahemee apike chakula, nikamuagiza anunue na Bites ili walau tutafune akiwa anarekebisha chakula. Karudi kauliza swali hilohilo, "Nawewe Nikupe"? Nikasema hapana. Ikabidi rafiki yake amchane aache maswali ya namna hiyo Kwa kuwa yanaashiria Uchoyo, it's better umpe mtu, kama hayuko interested atakwambia. Nikapotezea tu as if sikusikia maongezi yao.

Katika tabia sivutiwi nazo ni hii, sio kwangu tu, nimenotice sehemu tofauti akiionyesha. Naombeni mawazo yenu ya kibusara nimsaidie ajirekebishe aache huu upuuzi
Af bado unampeda huyu hakupendi, mwanamke akipenda mwanaume hata akiwa mchoyo atafurahi sana kula kwake au ku-share nae chakula chochote......utakuja kujutia kuna wanawake walio tunzwa anaangaika na huyu wa nini?
 
Kwanini usimwambie ? Sasa ukimuoa utamudu kweli? Halafu nyie wanaume wazembe wazembe ndiyo mnao waharibu wanawake, mwanaume mwenye utimamu huongea mara moja na yapili sauti huwa juu na mwanamke akaelewa!
 
Kuna tabia ni ngumu kurekebisha, hapo kwavile yuko mbioni kujifungua na umekiri mwenyewe unampenda sana huna budi kujiandaa psychological kuishi naye vinginevyo ujue una andaa upcoming single mother
 
Wanawake ni wachoyo wa chakula..!
Tabia ya kipuuzi sana. At the same time you are the one unaepambania hivyo vitu vipatikane. Mwisho wa siku unaona Bora Nile ndio nipeleke home, hata asiponipa sio issue nimeshajipimpu mtaani
 
Kuna dada mmoja rafiki yangu huwa anatualikaga kwake kula. Tatizo mdogo wake kekuu ni mchoyo Sana

Anapakua nyama chache anatuletea, wakati minyama kibao ipo.

Kekuu popote ulipo acha uchoyo pakua minyama hiyo watu wale hujachinjwa wewe
😂😂😂😂 Daaahh ...

Eti hujachinjwa wewe
 
Habari..

Mpenzi niliye nae nampenda sana, ni mama kijacho Kwa sasa. Tangu nimeanza kuwa karibu nae zaidi nagundua ana vijitabia ambavyo sio vizuri Kwa upande wangu. Anaonekana ni mbinafsi sana.

Ninaweza kwenda kumwona nimenunua matunda au kitu chochote ambacho tunaweza ku-share Kwa pamoja, lakini ikifika muda wa kula unashangaa anakuuliza "Nawewe unakula?", au "Nikupe na wewe?" Maswali kama haya huwa yananikata sana. Naweza nikaenda kwake labda jioni nikakaa hadi usiku. Hata kama Sina ratiba ya kulala kwake, anaweza akawa anapika chakula anakuuliza "nawewe unakula?"

Juzi usiku nikiwa kwake, alikuja rafiki yake kumtembelea. Nilimpa pesa akahemee apike chakula, nikamuagiza anunue na Bites ili walau tutafune akiwa anarekebisha chakula. Karudi kauliza swali hilohilo, "Nawewe Nikupe"? Nikasema hapana. Ikabidi rafiki yake amchane aache maswali ya namna hiyo Kwa kuwa yanaashiria Uchoyo, it's better umpe mtu, kama hayuko interested atakwambia. Nikapotezea tu as if sikusikia maongezi yao.

Katika tabia sivutiwi nazo ni hii, sio kwangu tu, nimenotice sehemu tofauti akiionyesha. Naombeni mawazo yenu ya kibusara nimsaidie ajirekebishe aache huu upuuzi
Ongea naye tu.
Unaweza kuta amekulia familia ya hivyo, mama yake alifanya hivyo (labda) so anaona ni kawaida.
 
Habari..

Mpenzi niliye nae nampenda sana, ni mama kijacho Kwa sasa. Tangu nimeanza kuwa karibu nae zaidi nagundua ana vijitabia ambavyo sio vizuri Kwa upande wangu. Anaonekana ni mbinafsi sana.

Ninaweza kwenda kumwona nimenunua matunda au kitu chochote ambacho tunaweza ku-share Kwa pamoja, lakini ikifika muda wa kula unashangaa anakuuliza "Nawewe unakula?", au "Nikupe na wewe?" Maswali kama haya huwa yananikata sana. Naweza nikaenda kwake labda jioni nikakaa hadi usiku. Hata kama Sina ratiba ya kulala kwake, anaweza akawa anapika chakula anakuuliza "nawewe unakula?"

Juzi usiku nikiwa kwake, alikuja rafiki yake kumtembelea. Nilimpa pesa akahemee apike chakula, nikamuagiza anunue na Bites ili walau tutafune akiwa anarekebisha chakula. Karudi kauliza swali hilohilo, "Nawewe Nikupe"? Nikasema hapana. Ikabidi rafiki yake amchane aache maswali ya namna hiyo Kwa kuwa yanaashiria Uchoyo, it's better umpe mtu, kama hayuko interested atakwambia. Nikapotezea tu as if sikusikia maongezi yao.

Katika tabia sivutiwi nazo ni hii, sio kwangu tu, nimenotice sehemu tofauti akiionyesha. Naombeni mawazo yenu ya kibusara nimsaidie ajirekebishe aache huu upuuzi
Mpenzi niliyekuwa nae kabla sijaamua kuyaweka kando mapenzi alikuwa na tabia za uchoyo plus kukosa shukrani.
Ilifika kipindi hata akinunua kitu mfano blueband kama hajaifungua kwanza yeye kuitumia basi sitaifungua,maana kunakuwa na vile vijimaneno maneno vinavyoashiria kama hajafurahia wewe kutumia. Utasikia mbona unachukua kingi😂😂😂,itaisha mapema😳😳ila akiwa kwangu aaah ni mwendo wa kutafuna anavyotaka.

Sikuwahi kumwambia ila ilikuwa ni moja ya tabia yake iliyokuwa inanikwaza sana. Ninashukuru sikufika nae mbali sana japo nlikuwa namuelewa kinoma!
 
Mimi wangu ni opposite ya wako! Yule dada anapakua hata nyama pisi 8 anakuwekea.
Mi ndo naanza lalama like 'hebu punguza.'
Mwanzo niliona ni mfujaji, lakini baadaye nikajua mazingira aliyokulia ya wajaluo na wasukuma chakula si kitu cha kuonja kama hapa Dar.
 
Kuna dada mmoja rafiki yangu huwa anatualikaga kwake kula. Tatizo mdogo wake kekuu ni mchoyo Sana

Anapakua nyama chache anatuletea, wakati minyama kibao ipo.

Kekuu popote ulipo acha uchoyo pakua minyama hiyo watu wale hujachinjwa wewe

Sipakui nyama, na wala sitowapakulia nyama hata moja, sahv mtakua mnaondoka kapa bila kunywa hata maji
 
Af bado unampeda huyu hakupendi, mwanamke akipenda mwanaume hata akiwa mchoyo atafurahi sana kula kwake au ku-share nae chakula chochote......utakuja kujutia kuna wanawake walio tunzwa anaangaika na huyu wa nini?
Hii ni sahihi kabisa. Ukibahatika kupata mwanamke anayekupenda halafu akaridhika,ni pepo tu hapo utakuwa umebakiza kuimiliki!
 
Back
Top Bottom