Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SahihiHuyo ndio chaguo lako. Mpe mtu kitu akatae mwenyewe ila sio kuanza kumuuliza maswali ya kiwaki.
Akutie mimba wewe?.Muache
Neno linatuma sanaa kanda ya ziwa humanisha kufanya shoppongKUHEMEA ni Kiswahili?
Mchagga?Habari..
Mpenzi niliye nae nampenda sana, ni mama kijacho Kwa sasa. Tangu nimeanza kuwa karibu nae zaidi nagundua ana vijitabia ambavyo sio vizuri Kwa upande wangu. Anaonekana ni mbinafsi sana.
Ninaweza kwenda kumwona nimenunua matunda au kitu chochote ambacho tunaweza ku-share Kwa pamoja, lakini ikifika muda wa kula unashangaa anakuuliza "Nawewe unakula?", au "Nikupe na wewe?" Maswali kama haya huwa yananikata sana. Naweza nikaenda kwake labda jioni nikakaa hadi usiku. Hata kama Sina ratiba ya kulala kwake, anaweza akawa anapika chakula anakuuliza "nawewe unakula?"
Juzi usiku nikiwa kwake, alikuja rafiki yake kumtembelea. Nilimpa pesa akahemee apike chakula, nikamuagiza anunue na Bites ili walau tutafune akiwa anarekebisha chakula. Karudi kauliza swali hilohilo, "Nawewe Nikupe"? Nikasema hapana. Ikabidi rafiki yake amchane aache maswali ya namna hiyo Kwa kuwa yanaashiria Uchoyo, it's better umpe mtu, kama hayuko interested atakwambia. Nikapotezea tu as if sikusikia maongezi yao.
Katika tabia sivutiwi nazo ni hii, sio kwangu tu, nimenotice sehemu tofauti akiionyesha. Naombeni mawazo yenu ya kibusara nimsaidie ajirekebishe aache huu upuuzi
Duh kweli kuna madhara ya kucomment bila kusoma , sorry sikusoma ujumbe wote nilisoma heading tu nikacommet . Mtoa mada usimuache mama kija mvumilie tu ni swala la muda yatapita tu.Akutie mimba wewe?.
Uchoyo ni tabia sugu ya wanawake wengi. Sijawahi kununua hata karanga packet ya kwangu tu. Lazima ninunue share 2, kama ni ndizi 2 chochote wawili. Lakini yeye akinunua chochote ananunua cha peke yake. Na akifanya kazi yoyote unaona anaona kero ananuna kama amekusaidia au amekufanyia hisani. Ila wewe ukiwajibika kuhudumia familia unaona amani na unamshukuru MUNGU.Habari..
Mpenzi niliye nae nampenda sana, ni mama kijacho Kwa sasa. Tangu nimeanza kuwa karibu nae zaidi nagundua ana vijitabia ambavyo sio vizuri Kwa upande wangu. Anaonekana ni mbinafsi sana.
Ninaweza kwenda kumwona nimenunua matunda au kitu chochote ambacho tunaweza ku-share Kwa pamoja, lakini ikifika muda wa kula unashangaa anakuuliza "Nawewe unakula?", au "Nikupe na wewe?" Maswali kama haya huwa yananikata sana. Naweza nikaenda kwake labda jioni nikakaa hadi usiku. Hata kama Sina ratiba ya kulala kwake, anaweza akawa anapika chakula anakuuliza "nawewe unakula?"
Juzi usiku nikiwa kwake, alikuja rafiki yake kumtembelea. Nilimpa pesa akahemee apike chakula, nikamuagiza anunue na Bites ili walau tutafune akiwa anarekebisha chakula. Karudi kauliza swali hilohilo, "Nawewe Nikupe"? Nikasema hapana. Ikabidi rafiki yake amchane aache maswali ya namna hiyo Kwa kuwa yanaashiria Uchoyo, it's better umpe mtu, kama hayuko interested atakwambia. Nikapotezea tu as if sikusikia maongezi yao.
Katika tabia sivutiwi nazo ni hii, sio kwangu tu, nimenotice sehemu tofauti akiionyesha. Naombeni mawazo yenu ya kibusara nimsaidie ajirekebishe aache huu upuuzi
Kambaku amegusia namna unaweza; 1. Kuichukulia positive kwamba anauliza ili ajue nini unataka so anajali matakwa yako.Asilimia kubwa ni hivyo mkuu, ila Kuna wengine wana-care sana. Ila huyu... Kila kitu atataka confirmation whether unahitaji or not ndio aweze ku-share. Ufala huu. Most of the time huwa naishia kumkatalia tu