Surya
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 8,774
- 13,566
Mapenzi hayanitesi sana siku hizi, lakini kiukweli warembo wanazidi kunikataa na sielewi ni kwanini.
Huwa najiuliza wasichana huwa mnawaza nini kabla ya kumkubali Mwanaume, Tuweke mbali Pesa, kipi huwa mnajiuliza kabla ya kumkubali mwanaume.
Baadhi ya Maswali yenu nimeweza kuchambua.. lakini ningependa mkipita hapa wahusika basi mnaweza kuongeza point.
1. Hivi huyu mwanaume ataweza kunivumilia mimi nilivo kavivu.
2. Ataweza kweli kutulia na mimi huyu na mapenz sijui, sijui hata hisia za wanaume ziko wapi.
Atanichoka haraka.
3. Huyu sawa mshamba mwenzangu, lakini mbona muongeaji sana. atanitangaza huyu.
4. Aisee huyu mvulana ni mjanja sana, simfai hata, atanitoa ushamba bureee.
5. Mmmh huyu atakua anaomba mzigo mala kwa mala, sitamuweza
6. Huyu kaka msafi sana, na huu uchafu wangu, nitaachwa mapema.
7. Huyu kwa kazi yake aisee wataniibia tu, simuwezi.
8. Jamani yani namuonea aibu sana huyu kaka lakini nimemuelewa na mimi.
9...
mtaendelea na nyie 😃😃
Huwa najiuliza wasichana huwa mnawaza nini kabla ya kumkubali Mwanaume, Tuweke mbali Pesa, kipi huwa mnajiuliza kabla ya kumkubali mwanaume.
Baadhi ya Maswali yenu nimeweza kuchambua.. lakini ningependa mkipita hapa wahusika basi mnaweza kuongeza point.
1. Hivi huyu mwanaume ataweza kunivumilia mimi nilivo kavivu.
2. Ataweza kweli kutulia na mimi huyu na mapenz sijui, sijui hata hisia za wanaume ziko wapi.
Atanichoka haraka.
3. Huyu sawa mshamba mwenzangu, lakini mbona muongeaji sana. atanitangaza huyu.
4. Aisee huyu mvulana ni mjanja sana, simfai hata, atanitoa ushamba bureee.
5. Mmmh huyu atakua anaomba mzigo mala kwa mala, sitamuweza
6. Huyu kaka msafi sana, na huu uchafu wangu, nitaachwa mapema.
7. Huyu kwa kazi yake aisee wataniibia tu, simuwezi.
8. Jamani yani namuonea aibu sana huyu kaka lakini nimemuelewa na mimi.
9...
mtaendelea na nyie 😃😃