huyo anayedaiwa kuwa ni mume wa mtu ni taahira au?
The problem ni kwamba these days life partner is treated as a parcel....Huyo anayedaiwa kuwa ni mume wa mtu ni taahira au?
Kuna watu wengine sijui kwa nini wanaishi kwa unafiki:bowl:
huyo anayedaiwa kuwa ni mume wa mtu ni taahira au?
hahahahahaapo nani anajiskia nin?
wote wawili uyo aliyeibwa na aliyeiba wana makosa
km upo tyt na mkeo kuna delila yeyote anaweza kukurubun?
uyo mbababa ndo ana matatizo yan badala atulie na mkewe ye anagawa nje tu .....kuna wanawake wengine wamezaliwa specially kwa kudate na waume za watu sasa akimpata km uyu anayeweza kumwendesha km tineja basi anafurahia sana
yan ukizubaa ata mipango ya hm kwako atakuwa anakupangia afu wewe unaenda hm kwako kifua mbele wife nimeona tuchinje bata jogoo tumuuze njiwa tuwapeperushe mende tuwafuge ...sasa apo ole wake mke ainue mdomo ...jaman mume wangu lakin...wewe moto utakavyowaka apo...........!!!!!! hatari
ebu tulien na ndoa zenu uko alllllllahhhh!!!!!!!!
huwezi amini na kila mahali wako wote sijawahi ona hii kitu,kweli kuna watu wakavu jamaniivi huo ujasiri nitaupata wapi? yani namchukulia mmewe tena nakuwa rafiki yake!? :nono::nono::nono:kweli watu tumeumbwa na sura zisizi na haya jamni!
angekuwa taahira usingeona hii mada hapa mtu na akili zae ila sijui ni kupenda sifa au mteremko hata havieleweki huyu baba na si mtoto,na huyu mama katumwa na serikali hapa kama........ wa TZHuyo anayedaiwa kuwa ni mume wa mtu ni taahira au?
ivi huo ujasiri nitaupata wapi? yani namchukulia mmewe tena nakuwa rafiki yake!? :nono::nono::nono:kweli watu tumeumbwa na sura zisizi na haya jamni!
dah! hapo demu anamchora mwenzie tu! atakapojua mwenye mmewe itabidi wahalalishe tu awe mke mwenziehuwezi amini na kila mahali wako wote sijawahi ona hii kitu,kweli kuna watu wakavu jamani
Kuna watu wengine sijui kwa nini wanaishi kwa unafiki:bowl:
halafu ninachokiona hapo pia mme anamdharau sana mkewe, vinginevyo asingekubali small house wake awe karibu na mkewe kabisa.ukikubali kufungulia panya buku, mende, vicheche nyumbani kwako bila kuwathibiti na wewe ndo kichwa cha familia unategemeaje lazima wakuendeshe unafikiri wana haya hawa wakati shida yao chakula
dah! hapo demu anamchora mwenzie tu! atakapojua mwenye mmewe itabidi wahalalishe tu awe mke mwenzie