apo nani anajiskia nin?
wote wawili uyo aliyeibwa na aliyeiba wana makosa
km upo tyt na mkeo kuna delila yeyote anaweza kukurubun?
uyo mbababa ndo ana matatizo yan badala atulie na mkewe ye anagawa nje tu .....kuna wanawake wengine wamezaliwa specially kwa kudate na waume za watu sasa akimpata km uyu anayeweza kumwendesha km tineja basi anafurahia sana
yan ukizubaa ata mipango ya hm kwako atakuwa anakupangia afu wewe unaenda hm kwako kifua mbele wife nimeona tuchinje bata jogoo tumuuze njiwa tuwapeperushe mende tuwafuge ...sasa apo ole wake mke ainue mdomo ...jaman mume wangu lakin...wewe moto utakavyowaka apo...........!!!!!! hatari
ebu tulien na ndoa zenu uko alllllllahhhh!!!!!!!!