Huwa mnakumbuka nini enyi wanaume

Huwa mnakumbuka nini enyi wanaume

Mama Sabrina

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2016
Posts
16,620
Reaction score
27,589
Mwanaume alikuacha akasema atakupotezea muda tu ukipata mtu wa kuwa nae au kuolewa nae olewa tu,,hapo ashakuudhi ashakuumiza ,kweli unavumilia unapata mwingine sasa ,,mnakaa inapita miaka 5 au 6 unashangaa huyo mwanaume anaanza kukutafuta na kupiga piga simu kila muda,na sms haziishi hivi huwa mnasahau nini na mnakumbuka nini nyinyi viumbe muitwao wanaume,yaan mtu nishakusahau hata dudu yako siikumbuki kabisa unaanza kujirudisha rudisha na kusema nina mpango naupanga sijui nin nanii ooh mara huwa nakukumbuka sana,nakufikiria Mama sabrina yaishe hayo,Mimi sirudi nyuma naenda mbele huko huko sirudii matapishi kabisa,maana kurudia rudia vitu ya zamani ni kujichosha tu tena mtu alikupa maudhi bora hata kama mliachana kwa wema tu.
Hapa namkaushia tu nataka nimuulize hivi ulisahau nin kwa mama Sabrina au anaumwa huyu mtu ,itakuwa anaharisha kabisa,kaenda kupata kasichana kapuuzi puuzi huko kabayaa wameshindwana huko ujirudishe kwangu marufuku
Mlipoenda muwe mnatulia huko huko msijifanye kurudi ladha ike ya mwanzo ishaisha kabisa ,tunataka wapya tu wa kuanza nao upya
 
Mwanaume alikuacha akasema atakupotezea muda tu ukipata mtu wa kuwa nae au kuolewa nae olewa tu,,hapo ashakuudhi ashakuumiza ,kweli unavumilia unapata mwingine sasa ,,mnakaa inapita miaka 5 au 6 unashangaa huyo mwanaume anaanza kukutafuta na kupiga piga simu kila muda,na sms haziishi hivi huwa mnasahau nini na mnakumbuka nini nyinyi viumbe muitwao wanaume,yaan mtu nishakusahau hata dudu yako siikumbuki kabisa unaanza kujirudisha rudisha na kusema nina mpango naupanga sijui nin nanii ooh mara huwa nakukumbuka sana,nakufikiria Mama sabrina yaishe hayo,Mimi sirudi nyuma naenda mbele huko huko sirudii matapishi kabisa,maana kurudia rudia vitu ya zamani ni kujichosha tu tena mtu alikupa maudhi bora hata kama mliachana kwa wema tu.
Hapa namkaushia tu nataka nimuulize hivi ulisahau nin kwa mama Sabrina au anaumwa huyu mtu ,itakuwa anaharisha kabisa,kaenda kupata kasichana kapuuzi puuzi huko kabayaa wameshindwana huko ujirudishe kwangu marufuku
Mlipoenda muwe mnatulia huko huko msijifanye kurudi ladha ike ya mwanzo ishaisha kabisa ,tunataka wapya tu wa kuanza nao upya
Yamekukuta mangapi mwenzetu[emoji23]
 
Mwanaume alikuacha akasema atakupotezea muda tu ukipata mtu wa kuwa nae au kuolewa nae olewa tu,,hapo ashakuudhi ashakuumiza ,kweli unavumilia unapata mwingine sasa ,,mnakaa inapita miaka 5 au 6 unashangaa huyo mwanaume anaanza kukutafuta na kupiga piga simu kila muda,na sms haziishi hivi huwa mnasahau nini na mnakumbuka nini nyinyi viumbe muitwao wanaume,yaan mtu nishakusahau hata dudu yako siikumbuki kabisa unaanza kujirudisha rudisha na kusema nina mpango naupanga sijui nin nanii ooh mara huwa nakukumbuka sana,nakufikiria Mama sabrina yaishe hayo,Mimi sirudi nyuma naenda mbele huko huko sirudii matapishi kabisa,maana kurudia rudia vitu ya zamani ni kujichosha tu tena mtu alikupa maudhi bora hata kama mliachana kwa wema tu.
Hapa namkaushia tu nataka nimuulize hivi ulisahau nin kwa mama Sabrina au anaumwa huyu mtu ,itakuwa anaharisha kabisa,kaenda kupata kasichana kapuuzi puuzi huko kabayaa wameshindwana huko ujirudishe kwangu marufuku
Mlipoenda muwe mnatulia huko huko msijifanye kurudi ladha ike ya mwanzo ishaisha kabisa ,tunataka wapya tu wa kuanza nao upya
Labda mwanaume anakumbuka vile ulikuwa ukimgawiaga mavitu aina zote.....
 
Hahahaaaa. Aliruka pakavu akakanyaga maji. Mwambie apambane na hali yake. Na usisahau kumkumbusha kwamba kuna ule usemi usemao "ukiona cha nini........................"

Ila wanaume mna visa saa nyingine yaani mtu ameshasahau na kama ni kidonda kilishapona halafu unajirudisha tena. Khaaaa
 
Mimi sasa sikumbuki,japo ni handsome
Yeye anakumbuka maukuta aliyokuwa akirukishwa. Huko aliko haruki tena[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Hahahaaaa. Aliruka pakavu akakanyaga maji. Mwambie apambane na hali yake. Na usisahau kumkumbusha kwamba kuna ule usemi usemao "ukiona cha nini........................"

Ila wanaume mna visa yaani mtu ameshasahau kama ni kidonda kilishapona halafu unajirudisha tena. Khaaaa
wanakera sana[emoji41] [emoji41]
 
Hahahaaaa. Aliruka pakavu akakanyaga maji. Mwambie apambane na hali yake. Na usisahau kumkumbusha kwamba kuna ule usemi usemao "ukiona cha nini........................"

Ila wanaume mna visa saa nyingine yaani mtu ameshasahau na kama ni kidonda kilishapona halafu unajirudisha tena. Khaaaa
Apambane na hali yake
 
wanakera sana[emoji41] [emoji41]
Dawa ya mtu kama huyo ni kumfungia vioo tu naye apate maumivu kama yale aliyoyasababisha mwanzo.

Na saa nyingine wivu pia, sababu unaweza kuta alitegemea akimuacha mtu atamkuta choka mbaya sasa akiona mtu ananawiri basi anarudi taratibu.

Wanaume punguzeni sitaki nataka ndio maana mnakosa vizuri kwa pupa zenu.
 
Nitakuwa wa ajabu nikishindwa kukumbuka nilivyokuwa nakupakua tigo,

Na sasa ndo nilichomiss
 
Hahahaaaa. Aliruka pakavu akakanyaga maji. Mwambie apambane na hali yake. Na usisahau kumkumbusha kwamba kuna ule usemi usemao "ukiona cha nini........................"

Ila wanaume mna visa saa nyingine yaani mtu ameshasahau na kama ni kidonda kilishapona halafu unajirudisha tena. Khaaaa
vinyongo ni sumu best, maisha yenyewe mafupi haya, tusameheane then maisha yaendelee, tuendelee hivi kununiana mpk lini, ngumu sana upendo kuugeuza chuki, tunatakiwa kuyamaliza no matter what, ndiyo ni radhi kulia hata mabegani hasira ziishe
 
Back
Top Bottom