ukhuty
JF-Expert Member
- Oct 9, 2016
- 16,879
- 41,971
ngoja wajeDawa ya mtu kama huyo ni kumfungia vioo tu naye apate maumivu kama yale aliyoyasababisha mwanzo.
Na saa nyingine wivu pia sababu unaweza kuta alitegemea akimuacha mtu atamkuta choka mbaya sasa akiona mtu ananawiri basi anarudi taratibu.
Wanaume punguzeni sitaki nataka ndio maana mnakosa vizuri kwa pupa zenu.