ngoja wajeDawa ya mtu kama huyo ni kumfungia vioo tu naye apate maumivu kama yale aliyoyasababisha mwanzo.
Na saa nyingine wivu pia sababu unaweza kuta alitegemea akimuacha mtu atamkuta choka mbaya sasa akiona mtu ananawiri basi anarudi taratibu.
Wanaume punguzeni sitaki nataka ndio maana mnakosa vizuri kwa pupa zenu.
Jaman mich uuuuDah kumbe ulianza mapenz miaka sita iliyopita. Hongera
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]wanakera sana[emoji41] [emoji41]
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]Dawa ya mtu kama huyo ni kumfungia vioo tu naye apate maumivu kama yale aliyoyasababisha mwanzo.
Na saa nyingine wivu pia, sababu unaweza kuta alitegemea akimuacha mtu atamkuta choka mbaya sasa akiona mtu ananawiri basi anarudi taratibu.
Wanaume punguzeni sitaki nataka ndio maana mnakosa vizuri kwa pupa zenu.
Hahaaa. Kila mmoja atajifanya ni mwena hajawahi kuacha akarudi.ngoja waje
vinyongo ni sumu best, maisha yenyewe mafupi haya, tusameheane then maisha yaendelee, tuendelee hivi kununiana mpk lini, ngumu sana upendo kuugeuza chuki, tunatakiwa kuyamaliza no matter what, ndiyo ni radhi kulia hata mabegani hasira ziishe
Etiii. Sema na wewe dada.Hii tabia inakera sana nyie wanaume mkuje huku wakishaenda huko wakiona sio ndio wanajirudisha mfyuuu
ngoja miwaite huku wanaume wa jf mpite hukuHahaaa. Kila mmoja atajifanya ni mwena hajawahi kuacha akarudi.
sijasikia neno lako hapa[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Leo wamepatikana. Hahahaaaa.ngoja miwaite huku wanaume wa jf mpite huku
mwifwa tia neno hapaLeo wamepatikana. Hahahaaaa.
Nyumbani ni nyumbani mkataa kwao mtumwa ukiona hivyo jua mwamba amekosa pa kuhemea..
Yaani Ndugu zangu mlivyoandika kama watu wakiachana wanaachana kwa raha. Wakati wengine huwa wanaondoka kwa matusi na kejeli juu.Ya kale ni dhahabu.
Jungu kuu halikosi ukoko
Ahahhah wakuje tuEtiii. Sema na wewe dada.
Hawatakuja wataishia kupita kimya kimya tu. Hahahaaaa.
Ninyi huwa hamkumbuki?Yaani Ndugu zangu mlivyoandika kama watu wakiachana wanaachana kwa raha. Wakati wengine huwa wanaondoka kwa matusi na kejeli juu.
Sasa kama huyo hata atoe misemo gani mitamu hawezi eleweka aisee.