Huwa mnakumbuka nini enyi wanaume

Hongera
Ila mara nyingi kujinasibu kama huku ni kwa sababu umekuta yaliyomo huko uliko .
Kwa kuwa wapo kama wewe wanaopasha na kula viporo hasa kwa kuwa walipokwenda pana moto ingependeza na kukuona kweli hutiki kurudi kama ungemshirikisha mumeo
 
Miaka 30 baadae ni mingi kweli.
 


Mario kakosa kwa kuhemea, anataka kurudi nyumbani kusubiri chakula cha kuitiwa kwa kupigiwa kengele.
 
kuna rafiki yangu huwa anatibuana na demu wake wanaseparate hadi miezi mi3 na bado wanapendana ila huwa wanategeana nani ataanza kumpigia cmu mwenzake.Cku m1wapo akijitoa ufahamu kuanza kupiga cmu na mapenzi huanza upya


WARNING: Kuna hangover ya mapenzi.

Waambie wasome kitabu cha TOO GOOD TO LEAVE, TOO BAD TO STAY.

Yaani kuna vitu vizuri kwa huyo mtu inakuwia ngumu kuachana naye na bado kuna vitu vibaya (ambavyo hukubaliani navyo principally) ambavyo ni afadhali muachane.

Hawa wasipofanya maamuzi magumu watakuja kuumia sana mbeleni (actually mmoja wapo atakuja kuumia sana mbeleni).

AU

Utoto! Ni watoto bado wakikua watasuluhisha tofauti zao wasonge mbele pamoja. Ingawa hii siipi nafasi sana.

Anyway, ningejua vyema ningeweza kusema zaidi. Waweza kuwa na mfano wa jambo ambalo huwatenganisha?

Nina wasiwasi sana mmojawao atakuja kuumia. Kuna mmoja ameshajua mwenzake anampenda. Wakiachana, siku akiwa mpweke atamtafuta. Siku huyu mwingine akiwa mpweke naye akitafutwa anakubali maana amin amin nakuambia, hakuna asiyependa free p!
 
Miaka 30 baadae ni mingi kweli.


Ni kweli kabisa. Sikuamini ila kwa kuwa waliokuwa wananieleza ni wao wenyewe nilikubali. Walinieleza hayo huku wakinionesha picha zao. Na wote wakaenda huko nje wakazaa watoto halafu kichekesho sasa watoto hao wote wana jina linalofanana.

Ni kweli mara nyingi (tena hii niisisitizie: MARA NYINGI) mahusiano ya kurudiana huwa hayafiki mbali hasa kwa kuwa kilichofanya watu waachane hakijashghulikiwa. Lakini mkiwa matured enough na mkaona mmesharekebisha kilichowatenganisha kwa nini msirudiane. Aisee, nilikuwa napenda kweli kujisemea sirudii matapishi lakini baada ya hayo nimegundua mapenzi ni kitu kingine..CHA MAANA NI KUWA MAKINI THE SECOND TIME!!!!
 
Second chance mara nyingi haziaminiki. Mimi mwenyewe nimeshakua mhanga wa hilo jambo ila juzi nimeona hapana niendelee na maisha mengine mapenzi nitakutana nayo kwingine.
 

1. Nakumbuka uliitisha interview about a week or two weeks ago
2. Then Nakumbuka uliitwa Catalunya ukamtosa jamaa cz alizidiwa na wenzie

Nisaidie results za Na. 1 and Na. 2 then ntakushauri what to do with the dude
 
1. Nakumbuka uliitisha interview about a week or two weeks ago
2. Then Nakumbuka uliitwa Catalunya ukamtosa jamaa cz alizidiwa na wenzie

Nisaidie results za Na. 1 and Na. 2 then ntakushauri what to do with the dude
Unaniandalia season sio[emoji6][emoji6][emoji6][emoji6]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…