LA7
JF-Expert Member
- Aug 26, 2019
- 655
- 2,369
Yaani kuna wakati unakuwa na watu wa karibu zaidi ya mmoja lakini unakuta kuna mmoja anamzunguka mwenzake na kufanya vitu viovu au kumsaliti huku wewe ukiwa unajua kabisa.
Kwa mfano, huku mtaani unakuwa na rafiki yako lakini ukawa unajua kabisa kwamba mke au mme wake anamsaliti au amezaa nje ya ndoa huku mmoja wapo akiwa hajui
Je, uliwahi kuingia kwenye changamoto kama hizo na uliamua kuongea au ulikaa kimya tu mpaka maji yalipo mwagika yenyewe.
Kwa mfano, huku mtaani unakuwa na rafiki yako lakini ukawa unajua kabisa kwamba mke au mme wake anamsaliti au amezaa nje ya ndoa huku mmoja wapo akiwa hajui
Je, uliwahi kuingia kwenye changamoto kama hizo na uliamua kuongea au ulikaa kimya tu mpaka maji yalipo mwagika yenyewe.