Huwa naachana na watu kisa kukoroma siwezi kabisa

Huwa naachana na watu kisa kukoroma siwezi kabisa

Mimi nilimpata mmoja nikamuweka mb..oo mdomoni tatizo lilimuondoka.

Nimepata mpya huyu anajamba hatariii nafikiria kumpa dawa ileile iliomfaa mwenziwe[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Basi ashampoo sasa hivi si nimerudi mjini kuna pisi nimekutana nayo tiktok shape kali sana tukachat kama week mbili hivi ikanielewa mimi mzee wa mashape ndo ugonjwa wangu.

Pisi ilikuwa Singida nikakomaa nikatuma 80000 ije Dar tuonane.

Nimeipokea ikaja kwangu hadi naandika uzi huu inakoromea pembeni na imesema itakaa siku tano, jamani sipendi watu wanao koroma mimi leo silali kisa ufisi wangu.

Vitu kama hivi ndo vinafanyaga napiga chini mtu pisi hii ya kirangi tako sura hips vipo vyote ila kukoroma kama gari la mkaa.

Anyway ufisi umeniponza.
MRANGI WA SINGIDA NA SIO KONDOA
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi nilimpata mmoja nikamuweka mb..oo mdomoni tatizo lilimuondoka.

Nimepata mpya huyu anajamba hatariii nafikiria kumpa dawa ileile iliomfaa mwenziwe[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hiyo dawa unayotaka kumpa, so ataacha kujamba?? Ataharisha kabisaa.
 
Wakati mwingine mtu ukichoka sana ukilala unaweza kukoroma hata kama kikawaida huwa haukoromi.
Sasa dada wa watu katoka singida hadi dar, amefika amepokelewa na sebene haswa kalala hoi. Mpe siku nyingine uhakikishe ni kweli anakoroma siku moja tu haitoshi.
Kabisaa kabisaa.
 
Inauzwaje hii?

Maana nami nakoroma kama jenereta
Ziko za bei tofauti zinaanzia 5k hadi 30k huko.. Kuna stika za kawaida, kuna za kuvaa kawaida na zipo hadi zinazotumia umeme.. 😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom