Namche Bazar
Senior Member
- Apr 8, 2019
- 116
- 176
Toa namba watu wakutue mzigo na kukurudishia nauli yako 80K.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inauzwaje hii?Wanunulie anti-snoring device mkuu... Zipo kibao[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna za kuweka puani na za kuweka kwenye ulimi, technology is [emoji91]
View attachment 2678829
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanunulie anti-snoring device mkuu... Zipo kibao[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna za kuweka puani na za kuweka kwenye ulimi, technology is [emoji91]
View attachment 2678829
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi nilimpata mmoja nikamuweka mb..oo mdomoni tatizo lilimuondoka.
Nimepata mpya huyu anajamba hatariii nafikiria kumpa dawa ileile iliomfaa mwenziwe[emoji23][emoji23]
MRANGI WA SINGIDA NA SIO KONDOABasi ashampoo sasa hivi si nimerudi mjini kuna pisi nimekutana nayo tiktok shape kali sana tukachat kama week mbili hivi ikanielewa mimi mzee wa mashape ndo ugonjwa wangu.
Pisi ilikuwa Singida nikakomaa nikatuma 80000 ije Dar tuonane.
Nimeipokea ikaja kwangu hadi naandika uzi huu inakoromea pembeni na imesema itakaa siku tano, jamani sipendi watu wanao koroma mimi leo silali kisa ufisi wangu.
Vitu kama hivi ndo vinafanyaga napiga chini mtu pisi hii ya kirangi tako sura hips vipo vyote ila kukoroma kama gari la mkaa.
Anyway ufisi umeniponza.
Harakati za Dr.Luv PimbiKwenye harakati zangu huwa nakutana na wanaokoroma
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hiyo dawa unayotaka kumpa, so ataacha kujamba?? Ataharisha kabisaa.Mimi nilimpata mmoja nikamuweka mb..oo mdomoni tatizo lilimuondoka.
Nimepata mpya huyu anajamba hatariii nafikiria kumpa dawa ileile iliomfaa mwenziwe[emoji23][emoji23]
Kabisaa kabisaa.Wakati mwingine mtu ukichoka sana ukilala unaweza kukoroma hata kama kikawaida huwa haukoromi.
Sasa dada wa watu katoka singida hadi dar, amefika amepokelewa na sebene haswa kalala hoi. Mpe siku nyingine uhakikishe ni kweli anakoroma siku moja tu haitoshi.
Sema kweliiii??? [emoji23][emoji23][emoji23]Inauzwaje hii?
Maana nami nakoroma kama jenereta
Kweli, mtu akichoka sana pia au kulewa sana wengine hukoroma. 😂😂😂Kikawaisa sikoromi ila siku nkichoka saaana nakoroma mamakeh hadi inanikera mm mwenyewe
Kweli bana[emoji28][emoji28]Sema kweliiii??? [emoji23][emoji23][emoji23]
Ziko za bei tofauti zinaanzia 5k hadi 30k huko.. Kuna stika za kawaida, kuna za kuvaa kawaida na zipo hadi zinazotumia umeme.. 😂😂😂😂Inauzwaje hii?
Maana nami nakoroma kama jenereta
Sometimes yan usingizi ukianza tu unakoroma immediatelly hadi kukoroma kwako mwenyewe kunakuamsha mkoromajiKweli, mtu akichoka sana pia au kulewa sana wengine hukoroma. 😂😂😂
sharing is caring 😂Sasa utanunua vingapi si utapata hasara? Au hicho kimoja watatumia wote