Huwa nafanya kwa kuiga ila sijui kwanini…

Huwa nafanya kwa kuiga ila sijui kwanini…

Zurie

JF-Expert Member
Joined
Jul 6, 2014
Posts
2,012
Reaction score
5,571
Ndugu zangu

Kabla ya kununua nazi huwa tunazitingisha karibu na sikio katika harakati za kuchagua.

Huwa tunasikiliza mlio wa aina gani?? Mwenzenu huwa nafanya tu halafu naishia kuchagua kubwa naondoka.

Naombeni ujanja.
 
Ndugu zangu

Kabla ya kununua nazi huwa tunazitingisha karibu na sikio katika harakati za kuchagua.

Huwa tunasikiliza mlio wa aina gani?? Mwenzenu huwa nafanya tu halafu naishia kuchagua kubwa naondoka.

Naombeni ujanja.
World is illusion
 
Ukiwa mgeni humu unaweza kuzani inazungumziwa nazi hii hii ya kupikia, kumbe! 😃
ECD46C6E-CDE8-49B7-98A4-24A0DD688991.jpeg
 
Ndugu zangu

Kabla ya kununua nazi huwa tunazitingisha karibu na sikio katika harakati za kuchagua.

Huwa tunasikiliza mlio wa aina gani?? Mwenzenu huwa nafanya tu halafu naishia kuchagua kubwa naondoka.

Naombeni ujanja.
Mtikisiko ni directly proportional na utamu wake
 
Nazi naijua kwa uzito wake(dafu ni zito kuliko nazi), na kuipiga kuna mlio wake hapa unajua hii nazi imekomaa. Na kwa kutizama tu unajua hii imekomaa hii bado vizuri
(Expirience tu)

Njoo huku, uhamie kwangu wiki tu utakuwa umezijua.😂
 
Mimi huwa nanunua Sana madafu...
Cha kushangaza unakuta muuza dafu kila ukiuliza dafu anajifanya anatafuta Kwa kugonga gonga...wakati hayo madafu kashinda nayo toka asubuhi...
Ule ni usanii wanafanya
😁😁😁
 
Kama gunakuwa gutamu hugo gukubwa uligoguchagua baada ya kugupitia kugutikisa gudogo,tuendelee na huo mtindo hauna shida.
 
Mimi huwa nanunua Sana madafu...
Cha kushangaza unakuta muuza dafu kila ukiuliza dafu anajifanya anatafuta Kwa kugonga gonga...wakati hayo madafu kashinda nayo toka asubuhi...
Ule ni usanii wanafanya

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom