Huwa najaribu kufikiria hili.....!!!!!

Huwa najaribu kufikiria hili.....!!!!!

utaulizwa kwani wanagegeda tabia??
 
Unajua kila mwenye nia na jambo flani bc atajionyesha kama kweli hyu anahitaji jambo flani sasa mwenye kutaka mke au mwanamke bc la mwanzo ktk maisha ytu ss wanaadam ni tabia na si uzuri wa rangi au urefu sawa dada sasa hyo mwenye kutaka mwembamba au mnene bc c mtu wa kuoa bali ni muharibifu na hata yy itakuwa hana tabia nzuri mm naona ni tabia ndio jambo la mwanzo mume analicheki unaweza ukamkuta mwanamke mzuri mweupe ila akawa hana tabia nzuri iwe nyumbani au hata sehemu yyte ila ana mdomo mchafu anapenda kwenda uchi starehe nyingi kwake ilimradi mashaka tu sawa dada?
 
Unajua kila mwenye nia na jambo flani bc atajionyesha kama kweli hyu anahitaji jambo flani sasa mwenye kutaka mke au mwanamke bc la mwanzo ktk maisha ytu ss wanaadam ni tabia na si uzuri wa rangi au urefu sawa dada sasa hyo mwenye kutaka mwembamba au mnene bc c mtu wa kuoa bali ni muharibifu na hata yy itakuwa hana tabia nzuri mm naona ni tabia ndio jambo la mwanzo mume analicheki unaweza ukamkuta mwanamke mzuri mweupe ila akawa hana tabia nzuri iwe nyumbani au hata sehemu yyte ila ana mdomo mchafu anapenda kwenda uchi starehe nyingi kwake ilimradi mashaka tu sawa dada?

Sawa kaka!!!
 
Back
Top Bottom