Huwa naona kama nimefanya ujinga baada kufanya mapenzi

Huwa naona kama nimefanya ujinga baada kufanya mapenzi

bulabo

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2015
Posts
628
Reaction score
780
Aisee sex sometime unajiona mjinga sana ukimaliza kufanya. Hasa hasa ukipata demu hana ile amsha amsha.

Siku hizi mademu wengi wamekosa amsha amsha labda malaya sana. Wengi niliofanya nao sex hawana sana zile amsha amsha.

Hasa hiki kizazi ila kuna demu nilimpata moro unatamani muendelee tu anakuzungushia mpaka sooo mpaka leo namkumbuka sana najuitia kupoteza namba yake.
 
Unachofanya wewe ni zinaa. Wala si mapenzi.

Ukute hapo umemaliza unaanza kuwaza nauli uliyomtumia, hela ya chakula na vinywaji, hela ya kulipia mahali pa kufanyia huo upuuzi na hela utakayompa.

Unapima umepiga dakika moja tu, wazungu hao. Unawaza umechoma zaidi ya elfu hamsini (minimum) kwa dakika moja tu ya Abdallah kichwa wazi.

Lazima uone ni ujinga na upumbavu.
 
Demu mnamaliza anaanza story weeee Hana amsha amsha Hadi we uanze Tena kuvuta hisia.Wakati mkiwa mnapiga story inabidi awe anaishika shika mara ainyonye mara akunyonye vichuchu aloooo utakesha unapiga show.
Aisee
 
Unachofanya wewe ni zinaa. Wala si mapenzi.

Ukute hapo umemaliza unaanza kuwaza nauli uliyomtumia, hela ya chakula na vinywaji, hela ya kulipia mahali pa kufanyia huo upuuzi na hela utakayompa.

Unapima umepiga dakika moja tu, wazungu hao.

Unawaza umechoma zaidi ya elfu hamsini (minimum) kwa dakika moja tu ya Abdallah kichwa wazi.

Lazima uone ni ujinga na upumbavu.
Na dhambi ya zinaa juu kachuma
 
Aisee sex sometime unajiona mjinga sana ukimaliza kufanya. Hasa hasa ukipata demu hana ile amsha amsha.

Siku hizi mademu wengi wamekosa amsha amsha labda malaya sana. Wengi niliofanya nao sex hawana sana zile amsha amsha.

Hasa hiki kizazi ila kuna demu nilimpata moro unatamani muendelee tu anakuzungushia mpaka sooo mpaka leo namkumbuka sana najuitia kupoteza namba yake.
Uzinzi once again[emoji3][emoji3] hii jf imekuaje siku hizi
 
Unachofanya wewe ni zinaa. Wala si mapenzi.

Ukute hapo umemaliza unaanza kuwaza nauli uliyomtumia, hela ya chakula na vinywaji, hela ya kulipia mahali pa kufanyia huo upuuzi na hela utakayompa.

Unapima umepiga dakika moja tu, wazungu hao.

Unawaza umechoma zaidi ya elfu hamsini (minimum) kwa dakika moja tu ya Abdallah kichwa wazi.

Lazima uone ni ujinga na upumbavu.
Haramu ni gharama sanaa ukilinganisha na halali
 
Back
Top Bottom