Daah asee kati ya vitu ambavyo nimekosa kuwa na ujasiri navyo bac ni kupima ngoma (UKIMWI).
Me bhna kila siku afya yangu huwa naipima kupitia mademu zangu. Kww bahati mbaya mara nyingi nmekuwa nikikutana na mademu wanaopenda kucheck afya zao mara kwa mara. Mwanzoni nilikuwa nawamind kwann wapime mara kwa mara bhna khan wanatafuta nin ila mwsho wa siku baada ya kushindwa kuwazuia nawaacha tu isipokuwa huwa hawanishirikishi tu wakienda kupima huwa wananiletea cheti cha ANGAZA bac
Kuna vichaka kma 5 hv nilipita miezi mitatu iliyopta daah nilikuwa nahofu balaaa! yan kuna muda nilikataga tamaa nikasema me haukosi hapa sahz
Daah sasa juzi demu wangu mpya si alienda kupima af majibu ni fresh. Basi na mimi nimepima kupitia yeye nilifurahi, ilikuwa ni mwendo wa kuku kwa mrijaaa
Najua mpo wengi tu ambao huwa mnapima afya zenu kuptia mademu zenu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]