Tatizo lako hujui tofauti ya mtu anayetetea ukweli na uthibitisho na mtu anayetetea chama.Acha kunililia hapa mtandaoni. Sikukutuma ukitetee chama cha Mbowe. Uwe na mipaka.
We mjinga sn, uliona CHADEMA wametoa official document ya kumuunga mkono Putin au maandiko ya Yeriko ndiyo CHADEMA?CHADEMA wao wanasema wanataka demokrasia wakati wa siasa lakini Bado wanamuona Putin kama mfano. Hii ni contradiction kabisa.
Ona anavyoua wapinzani wenzake. Ameua Navanyi Akiwa gerezani ili tu agombee peke yake. Karibu wapinzani wake wote kaau wote hata prigogzin kamuua.
Anataka kufia madarakani kama Mbowe. Putin hatukuja kuachia kiti kile and yet CHADEMA wanamuona kama hero.
CHADEMA saa nyingine huwa ni ama akili kisoda au hawajui wanataka nini.
Huna akili, toa hiyo list ya hao CHADEMA wengi ambao ni viongozi?Ikishakuwa wanachama wengi inakuwa CHADEMA tu.
Unajua ulichoandika?CHADEMA wao wanasema wanataka demokrasia wakati wa siasa lakini Bado wanamuona Putin kama mfano. Hii ni contradiction kabisa.
Ona anavyoua wapinzani wake. Ameua Navanyi Akiwa gerezani ili tu agombee peke yake. Karibu wapinzani wake wote kaau wote hata prigogzin kamuua.
Anataka kufia madarakani kama Mbowe. Putin hatukuja kuachia kiti kile and yet CHADEMA wanamuona kama hero.
CHADEMA saa nyingine huwa ni ama akili kisoda au hawajui wanataka nini.
NdiyoUnajua ulichoandika?
Hujui na kuna mambo makubwa ambayo hayawezi jadiliwa na akili ndogoNdiyo
Sasa akili ndogo ni Mimi au weweHujui na kuna mambo makubwa ambayo hayawezi jadiliwa na akili ndogo
Wewe na mtoa mada wote akili zenu ndogo.kama dunia ya sasa unashindwa kutofautisha mawazo binafsi ya mtu na tamko la chama nyie mtakua na shida yakufikiri.Mkuu CHADEMA kwenye siasa za kimataifa wengi ni watupu sana na wenye contradictions nyingi.
Kuna wanachedema wengi wanawahusudu Kiduku wa Korea Kaskazini, Kagame, Putin, Gaddafi n.k
Naona umeamua kutoa kabisa darasa.Wako wengi sana wenye akili kama za mtoa mada.Yeriko Nyerere ndiyo CHADEMA?
Kwani hakuna wana CCM wanao m support Putin?
Ukiwa na wana CCM wanao m support Putin, hilo lina maana CCM inam support Putin?
A.Hii ni logical fallacy ya non sequitur.
1.Yeriko Nyerwre supports Putin.
2.Yeriko Nyerere is a CHADEMA member.
3.Therefore, CHADEMA supports Putin.
Hapo hata kama 1 na 2 ni kweli, 3 umelazimisha kwa logical nonnsequitur.
"A non sequitur fallacy is a statement or conclusion that does not follow logically from what preceded it. Non sequiturs can be responses that have nothing to do with the conversation or flawed conclusions “based” on what preceded them."
B. Hii ni logocal fallacy ya strawman argument.
"A straw man fallacy (sometimes written as strawman) is the informal fallacy of refuting an argument different from the one actually under discussion, while not recognizing or acknowledging the distinction."
C. Hii ni logical fallacy, fallacy of composition.
"The fallacy of composition is an informal fallacy that arises when one infers that something is true of the whole from the fact that it is true of some part of the whole."
1. Kariakoo shimoni pananuka.
2. Kariakoo Shimoni pako Tanzania
3. Hivyo, Tanzania pananuka.
CHADEMA wao wanasema wanataka demokrasia wakati wa siasa lakini Bado wanamuona Putin kama mfano. Hii ni contradiction kabisa.
Ona anavyoua wapinzani wake. Ameua Navanyi Akiwa gerezani ili tu agombee peke yake. Karibu wapinzani wake wote kaau wote hata prigogzin kamuua.
Anataka kufia madarakani kama Mbowe. Putin hatukuja kuachia kiti kile and yet CHADEMA wanamuona kama hero.
CHADEMA saa nyingine huwa ni ama akili kisoda au hawajui wanataka nini.
Kwahiyo Yericko Nyerere ni kamanda uchwara?Tamko Hilo rasmi la CHADEMA liko wapi?
Tofautisha Chadema na makamanda uchwara.
Kwahiyo Yericko Nyerere ni kamanda uchwara?
Tangu lini msimamo wa mtu mmoja mmoja ukawa msimamo wa chama au kundi Fulani!? Hii namna ya kufikiri au school of thought inaitwaje?CHADEMA wao wanasema wanataka demokrasia wakati wa siasa lakini Bado wanamuona Putin kama mfano. Hii ni contradiction kabisa.
Ona anavyoua wapinzani wake. Ameua Navanyi Akiwa gerezani ili tu agombee peke yake. Karibu wapinzani wake wote kaau wote hata prigogzin kamuua.
Anataka kufia madarakani kama Mbowe. Putin hatukuja kuachia kiti kile and yet CHADEMA wanamuona kama hero.
CHADEMA saa nyingine huwa ni ama akili kisoda au hawajui wanataka nini.
CHADEMA wao wanasema wanataka demokrasia wakati wa siasa lakini Bado wanamuona Putin kama mfano. Hii ni contradiction kabisa.
Ona anavyoua wapinzani wake. Ameua Navanyi Akiwa gerezani ili tu agombee peke yake. Karibu wapinzani wake wote kaau wote hata prigogzin kamuua.
Anataka kufia madarakani kama Mbowe. Putin hatukuja kuachia kiti kile and yet CHADEMA wanamuona kama hero.
CHADEMA saa nyingine huwa ni ama akili kisoda au hawajui wanataka nini.
Ikishakuwa wanachama wengi inakuwa CHADEMA tu.
Unauliza jibu wewe hapoSasa akili ndogo ni Mimi au wewe