Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,610
- Thread starter
-
- #21
una nyota ya kuliwa tigo mkuuDah nna kismat na wake za watu ila nawakimbia
duh mwanaume mwenye kithembe...mi huwa nawaonaje sijui kama ney wa mitego mwili mkubwa afu kithembe mmh hapanami nina kisimati na wenye kithembe
Mimi huwa na kismati na wanawake wenye papuchi kubwa yaani swimingpool na wenye vikwapa vikali.
Mie nna kismat na mawaziri, Yani Mpaka najiuliza ivi ni kazi yangu nnayo fanya au hashuo Lao tuu, tena ukiwambia nimeolewa au Wakuone Na mimba Ndio zawadi usiseme...
Basi Waziri Sonyo...atakufaaa
Hahaaaaa..umetishaaa
Hujambo Mrembo?
hivi unajua Sasha ni kifupi ya Natasha?
Nchi za watu ukiitwa Sasha wanajua jina lako kamili ni Natasha....