huwa unaanzia wapi kupaka sabuni ukiingia kuoga!?

huwa unaanzia wapi kupaka sabuni ukiingia kuoga!?

Hv we ndo umeekti ile muvi ya snow white and seven dwarfs ?
 
Hv we ndo umeekti ile muvi ya snow white and seven dwarfs ?
unanchimba ujue,hapa najishauri nisemeje ninapoanzia kupaka sabuni nikienda kuoga af we unanikata stimu
 
aiseeeeeee babaangu mi naanza kwenye unyayo kupanda juu

sasa shemeji kweli ukianzia hapo unyayoni si sabuni itachafuka bababngu!labda umuulize mdogo wako Nicas Mtei anaweza kukupa mwongozo mkiwa pale kifunuka mlikuwa mnaanzia wapi kupaka sabuni!
 
Last edited by a moderator:
Kama ukinikubalia ntakupa sampling,,,tunaweka wimbo baadae af tunaanza kucheza kuelekea bafuni,then tukifika tunaweka pembe la ng'ombe,baada ya hapo tutashtukia tumemaliza kuoga halafu tunatoka bafuni na wimbo marry me,,

unanchimba ujue,hapa najishauri nisemeje ninapoanzia kupaka sabuni nikienda kuoga af we unanikata stimu
 
kwa sisi tunaotumia bathtub huwa tunajiloweka tu kwenye povu mwili mzima except kichwa! halafu mie huanza kujisugua sehemu za katikati ya mapaja na sehemu nyingine hufuata mwisho huwa uso!
 
Ndo naenda kukoga. Nkishamaliza ndo ntajua kuwa huwa naanzia wapi.

Choo_Chetu.jpg
 
kwa sisi tunaotumia bathtub huwa tunajiloweka tu kwenye povu mwili mzima except kichwa! halafu mie huanza kujisugua sehemu za katikati ya mapaja na sehemu nyingine hufuata mwisho huwa uso!
maelezo kuntu kabisa haya!
 
Naanziaga sehemu zenye nywele, sasa mtafikiria wenyewe kama ni kichwani, kwapani, kifuani au uko chini, mana hata miguu yangu ina nywele, ukifanya hvyo unatengeneza povu.
 
Back
Top Bottom