huwa unaanzia wapi kupaka sabuni ukiingia kuoga!?

Naanziaga sehemu zenye nywele, sasa mtafikiria wenyewe kama ni kichwani, kwapani, kifuani au uko chini, mana hata miguu yangu ina nywele, ukifanya hvyo unatengeneza povu.

sisi wa huku Tandale kwa Mkunduge tushazoea.
 
sasa sisi tunaotumia majani ya mpapai naona unatutenga hivi hivi...
 
unajipa promo kiasi hiki lol!ahahahhahhahahhha ukiipata hiyo bahati ya kutamkiwa hayo maneno na mie si utaoga mchanga lol!watu mna kazi duh!
Ndo umelijua leo hilo mama na bado huo ni mwanzo tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…