Huwa unahisi vipi ukimpigia na kumtext mpenzi wako halafu yeye akujibu tu text bila kukupigia?

Huwa unahisi vipi ukimpigia na kumtext mpenzi wako halafu yeye akujibu tu text bila kukupigia?

Sensei Tai

Senior Member
Joined
May 26, 2022
Posts
168
Reaction score
466
Mfano umeanza kumtumia ujumbe wa kumsalimia mpenzi wako lakini ukaona kimya kisha baada ya dakika 20 ukaamua kumpigia lakini pia hapokei, unaamua kutulia kisha yeye anakuja kukujibu tu ujumbe wako baada ya lisaa na hakupigii ingawa alikuta missed call yako.

Je huwa unachukuliaje hali hii pindi unapoona umefanyiwa hivi na mpenzi wako kwamba kakuta missed call yako na ujumbe lakini anajibu tu ujumbe kana kwamba hakuona missed call yako.

Karibu tupeane uzoefu
 
Mfano umeanza kumtumia ujumbe wa kumsalimia mpenzi wako lakini ukaona kimya kisha baada ya dakika 20 ukaamua kumpigia lakini pia hapokei, unaamua kutulia kisha yeye anakuja kukujibu tu ujumbe wako baada ya lisaa na hakupigii ingawa alikuta missed call yako.

Je huwa unachukuliaje hali hii pindi unapoona umefanyiwa hivi na mpenzi wako kwamba kakuta missed call yako na ujumbe lakini anajibu tu ujumbe kana kwamba hakuona missed call yako.

Karibu tupeane uzoefu
utakufa mapema na presha kufuatilia vitu vidogo
 
Mfano umeanza kumtumia ujumbe wa kumsalimia mpenzi wako lakini ukaona kimya kisha baada ya dakika 20 ukaamua kumpigia lakini pia hapokei, unaamua kutulia kisha yeye anakuja kukujibu tu ujumbe wako baada ya lisaa na hakupigii ingawa alikuta missed call yako.

Je huwa unachukuliaje hali hii pindi unapoona umefanyiwa hivi na mpenzi wako kwamba kakuta missed call yako na ujumbe lakini anajibu tu ujumbe kana kwamba hakuona missed call yako.

Karibu tupeane uzoefu
Kwa kijana wa 2000, atatamani kunywa sum, the rest tunakata sim na kuagiza moja baridi
 
Back
Top Bottom