Haya ni maswali yanayonisumbua ninapokuwa kwenye interview.
Sijawai kuyajibu nikapatia uwa najikanyaga siku zote. Ofcoz nazungumzia zaidi interview za kwenye NGO.
1. What is your experience in writing reports to donors?
2. What do you understand about ..... policy (yani anakutaka useme kitu kuhusu policy fulani ya kitaifa mfano education policy)
3. With examples describe your experience in doing training
Sijawai kuyajibu nikapatia uwa najikanyaga siku zote. Ofcoz nazungumzia zaidi interview za kwenye NGO.
1. What is your experience in writing reports to donors?
2. What do you understand about ..... policy (yani anakutaka useme kitu kuhusu policy fulani ya kitaifa mfano education policy)
3. With examples describe your experience in doing training