Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Nani anabaki na mshimoKwenye matumizi ya mwili hapo wote mnatumiana
Bibi yako πNani anabaki na mshimo
Ina tegemea na nature ya hayo mahusiano unless uwe unazungumzia malayaMimi Kama mbususu ananipa Niki ihitaji kwa wakati Sina shida na sms zake hata nikimpigia ikiwa inatumika Atajijua mwenyewe. Ila tu awe ananipa kipochi manyoya kwa wakati. Ila sms anajibu kwa wakati alafu kipochi manyoya anazungusha Nampiga chini sitaki mapenzi ya kishuleshule Mimi.
Mambo mengi muda mchache sweetheart...
ππ kwanini unitukanie bibi hivi, imeniuma sana mimiBibi yako π
Basi pole, tema mate tumchape momi pah pah!! Haya nyamaza nshamchapa πππ kwanini unitukanie bibi hivi, imeniuma sana mimi
Nimesusa ukitaka nipoe njoo tulale wote πββοΈBasi pole, tema mate tumchape momi pah pah!! Haya nyamaza nshamchapa π
Mi popobawaNimesusa ukitaka nipoe njoo tulale wote πββοΈ
And am batman πMi popobawa
Naona hapa umetoa ubinafsi kwanini wanawake wengi wanaona sisi wanqume ndio tunahitaji sex wao hawahitajiKwenye matumizi ya mwili hapo wote mnatumiana
Kwasababu mnaendeshwa sana na kichwa kidogo kuliko kikubwaNaona hapa umetoa ubinafsi kwanini wanawake wengi wanaona sisi wanqume ndio tunahitaji sex wao hawahitaji
HurtsHuwa unajisikiaje kuchati na mpenzi anayejibu meseji akijisikia au anachukua muda mrefu kujibu
Wale wa tafuta hela wasiguse uzi wangu, tusijepandishana kisukari, NIMEMALIZA.