Huwa unakagua Simu ya Mpenzi wako? Nini kinakusukuma kufanya hivyo?

Huwa unakagua Simu ya Mpenzi wako? Nini kinakusukuma kufanya hivyo?

Huwa napenda kukagua ila siku hizi sikagui sababu sitaki na yeye akague yangu

Nina mabomu ya machozi mengi akishika tu atalia🙌
Na hayo mabomu ndiyo chanzo cha kulea mitoto ya kina mwakyusa ndani ya nyumba yako wakati wewe ni mabula
 
Kama mke na mume mkitaka kuwa na amani katika maisha yenu ya ndoa basi msiwekeane siri, naunga mkono 100% kama mke anashika simu yangu hakuna shida awe huru na password zote nampa simu yangu ni simu yake na mimi kwake the same. Kwanini uwe na jambo la kuficha. Mnakuwa huru na maisha yanakuwa matamu.
Wewe siku utakayokuja kugunduwa kuna msela tu anamkaza mke wako nina uhakika utanyinyonga na mke wako ndio atakuwa anabanduliwa vizuri ukiwa umelala kaburini.

Yaani wewe ni jinga kwelikweli
 
Ewe mwanamke.,kama mume wako hajawahi kagua simu Yako...
Hupendwi..
Kuna namna najiskia vizuri nkiambiwa Lete simu Yako halafu akae nayo muda 😊
😊
Ni kwa mtazamo wangu lakini...
 
Kunasiku nilichora pasword kimakusudi aione , Halafu nikaacha simu..

Picha likaanza namchora kwa Tundu la funguo, Mtoto wa mtu kachukua simu... Kachora pini Ewaaah!! Ikakubali...

Mara Sura ikachange baada ya kukutana na Two step Verifiction ya FACE ID.... 😄😄😄
 
Sikagui simu ya mke wangu kwakuwa naye anafaragha zake ambazo sipaswi kuzijua,hii ni nje ya mahawara,ujue wanaume tuna shida tunajiona sisi ni wakamilifu Kwa Kila kitu,vile mwanamme unatamani nje na mwanamke na yeye hivyo hivyo.


Kikubwa nisijie,ila pia Mungu hamfichi mnafiki kama mke wangu atakuwa na Tania za mahawara nitajua tu. Over
 
Sikagui simu ya mke wangu kwakuwa naye anafaragha zake ambazo sipaswi kuzijua,hii ni nje ya mahawara,ujue wanaume tuna shida tunajiona sisi ni wakamilifu Kwa Kila kitu,vile mwanamme unatamani nje na mwanamke na yeye hivyo hivyo.


Kikubwa nisijie,ila pia Mungu hamfichi mnafiki kama mke wangu atakuwa na Tania za mahawara nitajua tu. Over
Jukumu la mwanaume ni kuwa mlinzi, kiongozi na kichwa cha familia sasa lazima umsimamie kikamilifu.

Wanawake wanapenda wanaume wenye misimamo hasa sio kumpa uhuru wa kijinga atakuona fala ataenda kutafuta mwenye msimamo.

Kuna mwanamke post ya hapo juu amesema yeye anapenda sana mwanaume wake amuamrishe "lete simu yako hapa" na akae nayo kwa muda ndiyo ana enjoy.

Sasa wewe endelea kujilegeza atakuchukulia kama mwanamke mwenzake manake hakuna sauti ya mamlaka juu yake.
 
N
Jukumu la mwanaume ni kuwa mlinzi, kiongozi na kichwa cha familia sasa lazima umsimamie kikamilifu.

Wanawake wanapenda wanaume wenye misimamo hasa sio kumpa uhuru wa kijinga atakuona fala ataenda kutafuta mwenye msimamo.

Kuna mwanamke post ya hapo juu amesema yeye anapenda sana mwanaume wake amuamrishe "lete simu yako hapa" na akae nayo kwa muda ndiyo ana enjoy.

Sasa wewe endelea kujilegeza atakuchukulia kama mwanamke mwenzake manake hakuna sauti ya mamlaka juu yake.
Niko kwenye ndoa miaka zadi ya 16,sijawahi kuona viashiria vya dharau na Wala sijawahi kupiga mke wangu
 
Wewe siku utakayokuja kugunduwa kuna msela tu anamkaza mke wako nina uhakika utanyinyonga na mke wako ndio atakuwa anabanduliwa vizuri ukiwa umelala kaburini.

Yaani wewe ni jinga kwelikweli
Sasa wewe mjanja akibanduliwa ukijuwa au kutokujuwa inabadilisha nini, lipi bora kujuwa na kuachana au kutokujuwa lakini huku watu wanakupiga vijembe ukijiona mjanja watu wanakuona bwege wakijuwa mkeo malaya na wewe huna unalojuwa. Nakushangaa eti ujinyonge kwa kuwa mkeo anatembea nje mjinga mkubwa. Tulikuwa na wanawake wangapi tuliwapenda na kuona bila wao maisha hakuna leo hii hata kuwakumbuka tu hatuwakumbuki, na wengine tukikutana nao tunajuliza hivi huyu nilimpendea nini.

Ukiwa na mke au mume kama hamuaminiani basi nyinyi ni kama malaya wa Sinza tu tofauti mnaishi pamoja.
 
Sasa wewe mjanja akibanduliwa ukijuwa au kutokujuwa inabadilisha nini, lipi bora kujuwa na kuachana au kutokujuwa lakini huku watu wanakupiga vijembe ukijiona mjanja watu wanakuona bwege wakijuwa mkeo malaya na wewe huna unalojuwa. Nakushangaa eti ujinyonge kwa kuwa mkeo anatembea nje mjinga mkubwa. Tulikuwa na wanawake wangapi tuliwapenda na kuona bila wao maisha hakuna leo hii hata kuwakumbuka tu hatuwakumbuki, na wengine tukikutana nao tunajuliza hivi huyu nilimpendea nini.

Ukiwa na mke au mume kama hamuaminiani basi nyinyi ni kama malaya wa Sinza tu tofauti
 
Back
Top Bottom