Huwa unatumia kigezo gani kumpa mtu likes humu jf ?

Mkuu kuna uzi watu wanapeana like kwa post yoyote..

Nenda kule ukawaulize..nahisi watakuwa na jibu la kueleweka zaidi.
 
watoa like maarufu bila sababu
Shunie
Mwifwa
bbae
Sesten Zakazaka
love b
mumu
Ushimen
Raynavero
Mzigua90
Ambiele Kiviele
Hajar
Maxence Melo
yna2
Demiss

wapo wengi siwezi kutaja wote hapa nimesahau wengine wao wanatoa tu haijalishi pumba wala point
Kamati kuu ya Haru.......c..[emoji41]

Kaka shikamoo.
 
Nimekupenda bure
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Kwa mimi mpenzi mtazamaji nasambaza upendo tu, ila jukwaa la Siasa wale ninaopingana nao ni mara chache sana kuwapa like.

Halafu inakuja automatic tu, kuna wale wafia chama wa Lumumba, hata nikutane naye MMU kumpa like ni kazi, labda nisome comment na ni-like kwa ubora bila kuangalia ID.

Maana kuna vile point inashuka kwa juu huoni mwandishi (kama unatumia simu).
 
Jaman me sina tabu msikilize haja ya moyo wake umpatie labda namnyimaga hukuwe waweza msaidia
We! Reception yangu naipenda! Kuna vingine huwa hatukabali kusaidiana hata iweje.
 
Hahaha!!!
Bahati yako sikukuta hata like yako moja !! Au ulikimbia kuzidislike???

Kama umedislike sio poa, uchoyo tu ndo utakua umekujaa..nasijui nn kikufanye ivo!!


Ila nakuahidi kuanzia sasa, ukinipa likes zako, zikifika tano tuuu,jiandae kupokea booooooonge la mtongozo[emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…