love b
JF-Expert Member
- Aug 27, 2017
- 2,155
- 3,162
Mh! Unanitisha sasa. Utanifanya nisitishe kutoa likesBahati yako sikukuta hata like yako moja !! Au ulikimbia kuzidislike???
Kama umedislike sio poa, uchoyo tu ndo utakua umekujaa..nasijui nn kikufanye ivo!!
Ila nakuahidi kuanzia sasa, ukinipa likes zako, zikifika tano tuuu,jiandae kupokea booooooonge la mtongozo[emoji23][emoji23]